Madame Ruu

Madame Ruu

Share

Photos from Madame Ruu's post 03/06/2026

Tuwanunulie wenetu nguo za kulalia kwa 25000 tu unapata seat tatu yaan suruali au kipensi tatu na nguo ya ju tatu bei pmja na Usafr hadi unapokea Dar🤗🤭

Watoto waache kulala na kanga za kishingo jmn km watoto wakibena🤣🤣

Kwa oda wasap me 0679353051

28/05/2026

Agiza waiting Chair ya watu watatu kwa 280k tu Hadi Unapokes Dar🤗

Wateja wapate pakupumzk jmn😂 ata me ntachukua ya Dukani😎

Lipia yako mapema just 280000 tu hadi inafika Dar

Kwa Oda wasap me 0679353051

28/05/2026

Hio ni nyumba ndg yangu sio Kabuli Jaribu kuipamba😂😂

Uzuri wa hzi Taa ata k**a nyumba yakukodi unaweka ukisepa unatoa taa zako😂🤦

Agiza kwa 40000 tu hadi inafika Dar

Hizi ni High Quality kabisa huipati chini ya elf 60 Uko Duniani

Kwa oda karbu wasap 0679353051

Nb taa tunachukulia oda hzi aina 2 tu mana kila aina moja wanauza kuanzia Taa 24

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Zanzibar City?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Website

Address


Zanzibar
Zanzibar City