Simulizi Za Kweli
17/04/2026
Sio kwa ubaya lakini unakuta mdada hajazaa lakini matiti yalivyomshuka utafikiri Ana nzao 6 hii huwa inatokana na nini wadau?
13/03/2026
Kuna mdada huko tiktok huyo hapo kwenye picha kajitokeza ana dai kwamba yeye ndiyo mama wa huyo mtoto kaandika ujumbe huu.β ππππ
"Watanzania Niko mbele yenu kuwaomba msamaha sana tena sanaππππ Sina cha kusema Mimi moyo wangu unavuja damu naona aibu Mimi hata kusema mbele yenuππ
Mwanangu naomba nimsamehe pia sikutaka kukutupa Mimi baba yako ndiyo chanzo cha yote haya mwananguπππ nimeumia sana tena sana Kwa nilichokifanya mwenzako huku naona aibu Mimiπππ". Je, Una maoni gani kuhusu jambo hili? K**a kweli yeye ndiyo muhusika kumtupa mtoto je una hisi kati ya mwanaume na yeye nani mwenye makosa???
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Tanga