Dimba zone.

Dimba zone.

Share

Photos 26/09/2018

Carabao Cup 21:45

Photos 07/08/2018

Kabla ya dirisha la usajili kufungwa nchini Uingereza siku ya alhamisi, swali la kujiuliza ni kwamba !!! Je, Allison ataendelea kushikilia rekodi ya kuwa kipa ghali zaidi duniani kwa sasa, au Arrizabalaga atavunja rekodi ya Allison anayoishikilia hadi sasa baada ya kusajiliwa na Liverpool kutoka AS Roma kwa £35m.

Ikumbukwe kuwa Real Madrid tayari wametoa offer ya £35m pia kwa Chelsea ili kumpata Thibout Courtois na Chelsea wanahaha kumpata mbadala wa Courtois.

Athletic Bilbao wao wamesema endapo Chelsea wanamtaka kipa wao Kepa Arrizabalaga basi watoe kiasi cha £72m.

Na taarifa zinasema kuwa Chelsea wamekubali kutoa pesa hiyo.

K**a mambo yakiwa hivi basi Arrizabalaga atakuwa ndiye kipa ghali zaidi kuwahi kutokea duniani.

Photos 12/04/2018

Ligi kuu Tanzania bara inaendelea leo kwa mchezo mmoja utakao pigwa katika dimba la Taifa jijini Dar es salaam.

Simba sports club itakuwa mwenyeji wa Mbeya City matajiri kutoka jijini Mbeya.

Kutokana na matokeo ya jana ambapo Yanga sports club walitoka sare ya goli 1-1 dhidi ya Singida United yanaipa Simba nafasi ya kuzidi kujichimbia kileleni mwa msimamo wa ligi kuu Tanzania bara.

12/04/2018

Kutoka BBC Swahili;
Jumapili hii mji wa Gold Coast Australia utaukabidhi kijiti cha uenyeji wa michezo ya jumuiya ya madola mji wa Birmingham wa Uingereza.
Birmingham inategemea kuwa mwenyeji wa michuano ya jumuiya ya madola ya mwaka 2022.
Mpango wa paundi milioni 70 kukipanua na kukiboresha Alexander Stadium ya Birmingam umetangazwa.Mpango huo utakiboresha kiwanja hicho chenye umri wa Zaidi ya miaka 40 kutoka kuweza kubeba watu 12,700 mpaka watu 40,000.
Tayari picha ya namna kiwanja hicho kinavyotarajiwa kuonekana imewekwa wazi na iwapo mpango utasalia ulivyo basi nchi nyingi zitaweza kuziona rangi za bendera zao kwani paa la Uwanja huo litakuwa na mifuniko ambayo ina rangi za bendera za nchi kadhaa Duniani.
Upanuzi huu utakifanya pia kiwanja hiki kuwa kikubwa zaidi chenye uwezo wa kutumika kwa michezo mbalimbali ya riadha, ukiacha vile vilivyoko London.

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Tanga?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Nurdinamran@gmail. Com
Tanga
0404012