babulitra
NURU YA QUR'AN.
وَمَا تَفْعَلُوا مِنْ خَيْرٍ فَإِنَّ اللَّهَ كَانَ بِهِ عَلِيمًا.
Na kheri yoyote mnayo fanya Mwenyezi Mungu anaijua.
📚 Surat Nisaa: 127.
t.me/nuruquran.
NURU YA QUR'AN.
وَمَن يُطِعِ اللَّهَ وَالرَّسُولَ فَأُولَٰئِكَ مَعَ الَّذِينَ أَنْعَمَ اللَّهُ عَلَيْهِم مِّنَ النَّبِيِّينَ وَالصِّدِّيقِينَ وَالشُّهَدَاءِ وَالصَّالِحِينَ ۚ وَحَسُنَ أُولَٰئِكَ رَفِيقًا.
Na wenye kumt'ii Mwenyezi Mungu na Mtume, hao wa pamoja na wale alio waneemesha Mwenyezi Mungu miongoni mwa Manabii, na Masiddiqi, na Mashahidi, na Watu wema, na uzuri ulioje kuwa pamoja na watu hao!
ذَٰلِكَ الْفَضْلُ مِنَ اللَّهِ ۚ وَكَفَىٰ بِاللَّهِ عَلِيمًا.
Hiyo ni fadhila itokayo kwa Mwenyezi Mungu, na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa kutosha.
📚 Surat Nisaa: 69 - 70.
t.me/nuruquran
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the school
Telephone
Website
Address
Tanga