bfm_radio
29/08/2022
🚨 A N N O U N C E M E N T 🚨
Tumefikia makubaliano ya pande mbili na kocha wetu, Abdihamid Moallin, na msaidizi wake, Omary Nasser, kuachia ngazi k**a kocha mkuu na msaidizi mtawalia.
Hata hivyo, makocha hao wataendelea kubaki k**a sehemu ya idara ya ufundi klabuni kwetu katika nafasi nyingine ambazo tutazitangaza hapo baadaye.
Kwa sasa timu itakuwa chini ya Daniel Cadena, ambaye ni kocha wa makipa, hadi tutakapotangaza kocha mpya.
Cadena ni kocha mwenye leseni ya juu kabisa ya ukocha, UEFA Pro License.
.amin
Want your business to be the top-listed Media Company in Njombe?
Click here to claim your Sponsored Listing.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Njombe