Mwauwasa
21/05/2026
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt, Mwigulu Nchemba akiambatana na viongozi wa Sekta ya maji walioongozwa na Waziri wa maji Mhe. Jumaa Aweso wametembelea na kukagua banda la maonesho la MWAUWASA katika maadhimisho ya siku ya Ziwa Victoria.
Wakizungumza katika tukio hilo muhimu, pamoja na mambo mengine viongozi hao wamesisitiza umuhimu wa wadau wote wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kuendelea kushirikiana kwa pamoja katika utunzaji wa Ziwa Victoria kwa manufaa ya wote kwaajili ya kizazi cha sasa na baadae.
Want your organization to be the top-listed Government Service in Mwanza?
Click here to claim your Sponsored Listing.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the organization
Telephone
Website
Address
P. O. Box 317
Mwanza
255
Opening Hours
| Monday | 08:00 - 17:00 |
| Tuesday | 08:00 - 17:00 |
| Wednesday | 08:00 - 17:00 |
| Thursday | 08:00 - 17:00 |
| Friday | 08:00 - 17:00 |
| Saturday | 08:00 - 18:00 |