Christ Freedom Church - CFC
08/05/2026
*Karibu sana Christ Freedom Church*
Nsumba Kiseke, Mwanza Tanzania
*Karibu kwenye ibada ya jumapili*
Tujifunze zaidi kwenye nguvu ya maneno ya Mungu ndani ya mtu binafsi
*Maneno yake kukaa ndani yetu*
*Yohana 15:7 (SUV)*
“Mkikaa ndani yangu, na maneno yangu yakikaa ndani yenu, ombeni mtakalo lote nanyi mtatendewa.”
~ Maswali mengine ya kujiuliza, je, maneno yake yanakaa ndani yetu kweli?
~ Mtu aliye mtoto kwa Mungu/kanisa hujitahidi maneno ya Mungu/kanisa kukaa ndani yake.
~ Hata hivyo kuna wanaoendeleza uvivu na uzembe ambao baada ya muda vyaweza hata kuwatoa ndani ya Mungu/kanisa.
~ Kuna watu wamo ibadani lakini hawamo ndani ya Mungu/kanisa na maneno ya Mungu hayamo ndani yao kabisa.
~ Lakini kuna watu hawamo ndani ya Mungu/kanisa lakini maneno ya Mungu yanakaa ndani yao. Unakubaliana nami kwenye hilo? Shetani anaangukia kwenye category hiyo. Satan ana uwezo wa kuvuruga mtu kiasi kwamba huyo mtu hakai ndani ya Mungu/kanisa lakini maneno ya Mungu yanakaa ndani yake k**a satan mwenyewe.
Nguvu ya Shuhuda (The Power of Testimony) ni somo lenye msingi mkubwa katika maisha ya Kikristo. Shuhuda ina nguvu ya:
Kuthibitisha uaminifu wa Mungu
Kuwatia moyo wengine
Kuweka ushindi dhidi ya shetani
Andiko la msingi:
Ufunuo 12:11
“Nao wakamshinda kwa damu ya Mwana-Kondoo, na kwa neno la ushuhuda wao; ambao hawakupenda maisha yao hata kufa.”
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the place of worship
Telephone
Website
Address
Nsumba, Kiseke
Mwanza