AFYA LINES
*KIHARUSI(STROKE)*
🔺 Kiharusi ni ugonjwa unaoathiri ubongo ambayo Hali hyo hupelekea kuathirika upande wa mwili au mwili mzima kutokana na kwamba ubongo ndio kiungo pekee ambacho huuendesha mwili mzma.
🔺Kuna aina mbili za Kiharusi yaani:
*Ischemic stroke(Kiharusi kitokanacho na ukosefu wa hewa ya oxygen kwenye ubongo) na
*Hemorrhagic stroke (Kiharusi kitokanacho na kuvujia Kwa damu kwenye ubongo)
*NB*;Aina zote hizi za Kiharusi huupunguzia ubongo uwezo wa kufanya kazi yake vizuri na kupelekea baadhi ya sehemu za mwili au mwili mzima kushindwa kufanya kazi zake vizuri
🔺 Hospitalini ugonjwa huu umekuwa changamoto kubwa sana kutibu ila nikuoe matumaini kwamba ugonjwa huu unatibika Kwa bidhaa Bora kabisa zilizotengenezwa na viambata asilia ambavo vipo katika mfumo wa tibalishe.
*UTAJUAJE KWAMBA MTU AMEANZA KUSHAMBULIWA NA UGONJWA WA KIHARUSI*🤷🏾♂️
Watu wengi wamekuwa hawaelewi ni namna gani unaweza ukamgundua mtu anaeshambuliwa na ugonjwa wa Kiharusi mapema kabla ugonjwa haujakomaa, Sasa naomba nikuelwkeza namna ya kutambua mtu anaeshambuliwa na ugonjwa wa Kiharusi mapema kabla tatizo halijakuwa kubwa. K**a utakuwa unahisi ugonjwa wa Kiharusi umeanza kukushambulia au utahisi mtu wako wa karibu hiharusi kimeanza kumshambuli fanya vitu hivi ili kuthibitisha k**a anashambuliwa na Kiharusi.........
💨 Tabasamu. mwambie mtu huyo atabasamu, k**a upande mmoja wa mdomo utakuwa umeshuka kuliko upande mwingine atakapotabasamu basi ujue kabisa mtu huyo Kiharusi kimeanza kumshambulia.
💨Ganzi ya mara kwa mara kwenye Miguu na mikono. Endapo mtu atakuwa analalamika kushikwa na ganzi za mara kwa mara kwenye Miguu na mikono basi huyo mtu inabidi awahishwe hospitali kwani Kuna uwezekano mkubwa kwamba mtu huyo anashambuliwa na ugonjwa wa Kiharusi.
💨 Kunyanyua mikono. Mwambie mtu huyo anyanyuwe mikono yote miwili juu. Endapo mkono mmja utanyanyuka kidogo au atashindwa kuunyanyuwa kabisa basi ujue mtu huyo anashambuliwa na Kiharusi.
💨 Kumbukumbu. K**a utaona mtu anaanza Kupoteza kumbukumbu za vitu, watu, sehemu na nyakati k**a vile mahali anapoishi au alipozaliwa, mwaka wake wa kuzaliwa, na majina machache ya watu wake wa karibu na watu maarufu, hasa k**a ana umri wa kuanzia miaka 50 na kuendelea basi ujue mtu huyo anashambuliwa na Kiharusi.
💨 Balance. Endapo k**a utaona mtu anashindwa kupiga hatua au anakuwa mzito wa kupiga hatua na haikuwa kawaida yake basi ujue huyo mtu anashambuliwa na ugonjwa wa Kiharusi.
🕳️Basi k**a upo na mgonjwa mwenye dalili hizo hapo juu 👆 tunaweza kuwasilana kupitia namba +255789764299 ili niweze kukusaidia namna ambavo unaweza kupata matibabu
01/06/2023
*KIHARUSI(STROKE)*
🔺 Kiharusi ni ugonjwa unaoathiri ubongo ambayo Hali hyo hupelekea kuathirika upande wa mwili au mwili mzima kutokana na kwamba ubongo ndio kiungo pekee ambacho huuendesha mwili mzma.
🔺Kuna aina mbili za Kiharusi yaani:
*Ischemic stroke(Kiharusi kitokanacho na ukosefu wa hewa ya oxygen kwenye ubongo) na
*Hemorrhagic stroke (Kiharusi kitokanacho na kuvujia Kwa damu kwenye ubongo)
*NB*;Aina zote hizi za Kiharusi huupunguzia ubongo uwezo wa kufanya kazi yake vizuri na kupelekea baadhi ya sehemu za mwili au mwili mzima kushindwa kufanya kazi zake vizuri
🔺 Hospitalini ugonjwa huu umekuwa changamoto kubwa sana kutibu ila nikuoe matumaini kwamba ugonjwa huu unatibika Kwa bidhaa Bora kabisa zilizotengenezwa na viambata asilia ambavo vipo katika mfumo wa tibalishe.
🔺 *Ondoa shaka Kiharusi (stroke) kinatibika*
Kwa elimu zaidi au taarifa zaidi mawasiliano ni 0789764299
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Buzuruga
Mwanza
TMDA