RAMMY MEDIA
18/08/2025
Mnakumbuka kipindi Marioo yupo moto, Mondi alileta pigo k**a hizi hizi kwenye maongezi yake alisema ‘Marioo alimuomba yeye amsaini akakataa’ 😀
Okay inaweza kuwa kweli lakini why unasema moment k**a hiyo? Nini unataka? Ishu ilikua ni private kwani haiwezi kubaki hivyo? Now wote ni biashara tofauti.. nini sasa unataka 🤷♂️
Uzuri Marioo aliruka futi 6, sasa Mbosso k**a sio kiki hizi na anacheka cheka.. subiri 😀
24/01/2025
Ndoa na talaka imekuwa biashara kubwa kwa Wanawake nchini Marekani, haimaanishi ukiolewa na Tajiri ndio uondoke na mali zake punde mkiachana nataka niikomeshe tabia hii kwamba mkiachana kuna kiasi tu itabidi upewe na hakuna sababu ya kusema ni kidogo kwakuwa hukuhangaikia, k**a unahisi huwezi kuwalea watoto basi niachie Mimi niwalee”
- Donald Trump, Rais wa Marekani.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the public figure
Telephone
Website
Address
Mwanza