Gmax News
02/03/2026
MKEKA WETU WA LEO
BILA TAMAA WANANGU✊🏾
HAKIKISHA HAUIACHI HII HELA📌
12/10/2025
Mechi ya kirafiki kati ya SIMBA vs AL HILAL itapigwa leo majira ya saa 12 jioni kwenye uwanja wa gym khan
Al hilal wanaenda kutafuta ushindi wao wa kwanza mbele ya SIMBA huku SIMBA anaenda kulinda heshima na kuendeleza rekodi yake ya kutofungwa na AL HILAL
acha tuone 😀😀😀
19/09/2025
Klabu ya Raja Casablanca ipo katika maamuzi magumu ya mapema msimu huu, ambapo uongozi wa timu unaripotiwa kufikiria kuachana na kocha wao mkuu Lassaad Chabbi, ingawa ameiongoza timu hiyo katika michezo miwili pekee ya mwanzo wa msimu mpya wa Botola Pro.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka Morocco, majina ya makocha Fadlu Davids na Jose Riveiro yameibuka kama wagombea wakuu wa kumrithi Chabbi endapo atatimuliwa.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Rock City
Mwanza