First care Tz
29/11/2019
Leo inatimiza miaka 120, tangu ilipoanzishwa Novemba 29, 1899.
Iliasisiwa na kundi la wanasoka wa Kiispaniola, Kiingereza na Kiswisi wakiongozwa na Joan Gamper (akiwa na miaka 22). Barça ni moja ya timu 3 anzilishi za La Liga, pamoja na Athletic Bilbao & Real Madrid.
29/11/2019
Mkufunzi wa Arsenal Unai Emery amefutwa kazi baada ya kuongoza timu hiyo kwa kipindi cha miezi 18, hiyo ni kufuatia muendelezo wa matokeo mabaya.
Want your school to be the top-listed School/college in Mwanza?
Click here to claim your Sponsored Listing.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Mwanza