Maguge Tv
24/07/2022
John Heche✍✍
20/07/2022
: Maafisa watatu wa Jeshi la Magereza wakiongozwa na Mkuu wa Gereza la Liwale mkoani Lindi, SP Gilbert Sindani mapema hii leo majira ya saa 8:50 asubuhi wamefikishwa katika Mahak**a ya Makimu Mkazi Lindi kwa mara ya tatu kufuatia tuhuma zinazowakabili za mauwaji ya mfungwa kwenye Gereza la Liwale.
Taarifa za awali zinaeleza kwamba mfungwa alieuwawa ni Ally Abdallah.
Want your business to be the top-listed Media Company in Mwanza?
Click here to claim your Sponsored Listing.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Address
Bugarika Pamba Nyamagana Mwanza
Mwanza
BUGARIKA,33214