Asdfghkj

Asdfghkj

Share

14/10/2020

TANZANIA🇹🇿

Klabu ya Ihefu SC imemteua Jackson Mayanja kuwa kocha mkuu wa timu hiyo

13/10/2020

NYERERE DAY 14 OCT:

"Kila nilipokuwa nikitaka kung'atuka walikuwa wakiniambia: 'Mwalimu endelea tu, hii nchi ni changa na umeitoa mbali. Nchi hii haitaendelea bila wewe'. Nami niliiendelea hadi pale nilipokuja kugundua kumbe nchi changa waliyoiongelea ni familia zao, na hazitaendelea bila mimi kuwepo madarakani, maana walikuwa hawana uhakika k**a Rais ajaye atawaacha katika nafasi walizokuwa nazo." - Mwalimu Julisu Kambarage Nyerere

Want your business to be the top-listed Event/venue in Mwanza?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Mwanza