EastPoint Hotel Shuttle

EastPoint Hotel Shuttle

Share

28/05/2025

Inaelezwa kuwa Young Africans Sports Club walishamaliza kufanya usajili wa wachezaji wote wanaowahitaji kuelekea msimu ujao 👀

Mchezaji ambaye wamechelewa kukamilisha mazungumzo alikuwa ni Komizo Abdoul Abass Maiga 🇨🇮 .

Kuhusu kiungo huyo wa kati wa ASEC Mimosas ni kwamba, tayari Yanga wamekamilisha taratibu zote kwa kushirikiana na wakala wa mchezaji; hivyo Koimizo Maiga yupo tayari kucheza Young Africans sc msimu wa 2025-2026.

Mimi binafsi nimechelewa sana kuujua uwezo wake. Nilisikia kuwa amepata malezi yake ya soka nchini Ufaransa kwenye Academy ya ASSE - Association Sportive de Saint-Etienne 🇫🇷 Nikaenda kujiridhisha.

07/05/2023

For all your tranfers

Want your business to be the top-listed Transport Service in Moshi?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Swahili Street
Moshi
103