NJORO Halisi

NJORO Halisi

Share

Photos from NJORO Halisi 's post 24/11/2024

Kura yako katika mtaa wako ndio chachu ya maendeleo ya mtaa wako.

Photos from NJORO Halisi 's post 24/11/2024

Kura yako katika mtaa wako ndio chachu ya maendeleo ya mtaa wako.
Mwananchi jitokeze tar 27/11/2024
Nenda kapige kura ili uijenge nchi kuanzia katika mtaa wako.

07/02/2024

MSTAHIKI MEYA WA MANISPAA YA MOSHI NDG ZUBERI ABDALLAH KIDUMO AKIZUNGUMZA NA WAHANGA WA JANGA LA MOTO WA SOKO LA MBUYUNI WILAYA YA MOSHI MKOANI KILIMANJARO.

Photos from NJORO Halisi 's post 17/01/2024

Mstahiki MEYA wa Manispaa Ya Moshi ZUBERI ABDALLAH KIDUMO pamoja na MBUNGE wa moshi mjini Ndugu PRISCUS JACOB TARIMO.
wakiwa katika ukaguzi wa mradi wa shule ya secondary ya kata ya majengo itakayoitwa LUCY LAMECK SEC SCHOOL. Ilikua ni siku tatu kabla ya shule kufunguliwa, viongozi hawa wachapa kazi walikwenda kuhakiki utayari wa ujenzi ili kuwapokea vijana waliomaliza darasa la saba 2023 ili wawahi kuanza masomo yao ya secondary katika shule yao ya kata ya majengo.
By NJORO Halisi .

Photos from NJORO Halisi 's post 17/01/2024

*Mbunge na Meya Watembelea maeneo ya mradi mpya wa barabara za TACTIC*

Mbunge wa Moshi Mjini Mh. *Priscus Jacob Tarimo na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi *ZUBERI A KIDUMO* Maafisa kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mshauri mwelekezi kutoka kampuni ya Crowntech Engineering wamefanya ziara ya maeneo ambapo miradi ya barabara pamoja na mifereji mpya za mpango wa TACTIC utapita.

Baadhi ya maeneo yatakayoguswa na mradi huo ni pamoja na Magereza-Bonite-Geti Fonga.
Pia Laliga(Njoro)-Daraja la Otieno-Msufini-Ruaichi(Kata ya Ng'ambo)

Aidha mradi huo utahusisha uboreshwaji wa mitaro katikati ya mji na baadhi ya Kata zilizopo nje ya Mji.
#
* #*

26/11/2023

HAPA MSTAHIKI MEYA AKIHAMASISHA UOTESHAJI WA MITI KATIKA MANISPAA YAKE.
KATIKA KIPINDI HIKI CHA MVUA MEYA ANASHAURI TUOTESHE MITI KWA WINGI ILI PINDI MVUA ZITAKAPO KATA MITI IWE IMESHIKA VIZURI NA KUILINDA ILI TUENDELEE KUWA NA MANZARI MAZURI NA HEWA SAFI PAMOJA NA KUTUNZA VYANZO VYETU VYA MAJI.

Photos from NJORO Halisi 's post 26/11/2023

Mstahiki Meya na Diwani wa kata ya Njoro akimkabidhi Mwl Mkuu wa shule ya Njoro Photocopy mashine na Laptop kwa ajili ya kuwasaidia wanafunzi kufanya mitihani mara nyingi kwa wiki kwa gharama nafuu. Hii ni baada ya walimu kumuomba mstahiki Meya abadilishe ile ahadi ya kununua mahindi na sasa wapate hiki kifaa cha kuwapunguzia gharama wazazi.

Photos from NJORO Halisi 's post 15/11/2023

MEYA wa Manispaa ya moshi Zuberi Abdallah Kidumo Akiwa KIGALI Nchini RWANDA
Akiwa kwenye majukumu yake ya kikazi katika kuipigania manispaa yake ya moshi.

Photos from NJORO Halisi 's post 14/11/2023

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi ZUBERI ABDALAH KIDUMO akiwa katika kutekeleza majukumu yake ya kikazi nje ya nchi.
Katika kuhakikisha manispaa yake inafikia kwenye malengo ya kuwa manispaa bora katika nyanja zote.

Want your public figure to be the top-listed Public Figure in Moshi?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Njoro
Moshi