Cetosude
β¨ Fursa Plus Project β¨
Fursa Plus Project ni mpango unaoendeshwa na vijana wenye utaalamu wa kilimo, ufugaji na ujasiriamali, chini ya CETOSUDE.
Lengo kuu ni kutoa elimu ya kilimo-biashara, ufugaji wa kisasa na ujasiriamali wa vitendo ili kuondokana na kilimo cha mazoea na utegemezi wa ajira pekee.
π― Malengo ya Fursa Plus Project
β
Kuelimisha vijana na jamii kuhusu kilimo na ufugaji wa kisasa wenye tija
β
Kuwafundisha mbinu za kugeuza kilimo na ufugaji kuwa biashara
β
Kuwezesha watu kuunganishwa na masoko ya uhakika
β
Kufungua milango ya fursa mbalimbali za kiuchumi
β
Kuinua kipato na kupunguza umasikini kupitia elimu ya vitendo na darasani
π‘ Kwa nini Fursa Plus?
πΏ Tunatoa maarifa ya vitendo (practical skills) ya kilimo na ufugaji yanayoweza kutumika mara moja shambani, bandani na sokoni
πΏ Tunawaunganisha vijana na wadau wa kilimo, ufugaji, masoko na fursa za kifedha
πΏ Tunajenga jamii inayojitegemea, badala ya kutegemea ajira pekee
π± Kauli Mbiu Yetu:
βKilimo na Ufugaji wa Kibiashara, Ujasiriamali wa Vitendo β Fursa kwa Kila Mtu!β
π Karibu ujifunze, ushiriki na ufaidike na Fursa Plus Project.
π Tembelea: www.cetosude.or.tz
π© Wasiliana Nasi Moja kwa Moja kwa Taarifa Zaidi:
π Simu: 0621114769/0684772756@ #
π§ Barua pepe: [email protected]
20/08/2025
EXCITING NEWS! FA2T PROJECT LAUNCH π
CETOSUDE through the From Aid to Trade (FA2T) Project has officially commenced comprehensive farmer screening activities across our three target wards!
π― What's Happening:
We've deployed experienced and skilled young professionals to conduct one-on-one assessments with farmers, ensuring we reach every potential beneficiary in our project areas.
π₯ Our Mission:
Listening to farmers' challenges and understanding their current farming systems
Identifying their aspirations and desired changes
Assessing readiness for dairy farming transformation
Building trust through direct community engagement
π Why This Matters:
This intensive screening process ensures that our FA2T project truly serves those ready to transition from aid dependency to sustainable trade-based livelihoods. Every farmer's voice counts!
π Coverage: 3 Wards | 60+ Study Groups | 330+ Farmers
β° Timeline: 10-day intensive screening operation
π¨βπΌ Team: Professional screeners with agricultural expertise
From Aid to Trade - Building Sustainable Dairy Farming Communities! π₯β¨
Mradi wa From Aid to Trade (FA2T) unaendelea kutekelezwa kwa mafanikio, ambapo elimu muhimu inaendelea kutolewa kwa wafugaji wa ngβombe wa maziwa katika Wilaya ya Hai.
π― Mafunzo haya yanawalenga kuwajengea uwezo wafugaji katika:
β
Mbinu bora za ufugaji wa kisasa
β
Lishe bora ya mifugo
β
Uzalishaji wa maziwa kwa tija
β
Utunzaji wa mazingira na usalama wa chakula
Kwa ushirikiano wa karibu na viongozi wa maeneo husika pamoja na wataalam wa mifugo, tunazidi kusogeza maendeleo ya kweli kwa jamii zetu.
πͺ Tunaamini kuwa elimu ni msingi wa mabadiliko!
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the organization
Website
Address
Sabasaba Soweto
Moshi