Tabasamu Club

Tabasamu Club

Share

28/02/2026

📊 Takwimu Zinasema…
Takribani mtoto 2 kati ya 5 Tanzania hupitia aina fulani ya ukatili kabla ya kufikisha miaka 18.
Chanzo: National Bureau of Statistics Tanzania (Utafiti wa Kitaifa wa Ukatili Dhidi ya Watoto) kwa ushirikiano na UNICEF.
Hizi si namba tu — ni maisha ya watoto wetu.
Usinyamaze.
Toa taarifa. Linda mtoto. 🇹🇿



Meela Furaha

17/02/2026

“Ukiona au kusikia unyanyasaji, usinyamaze.
Piga 116 (Huduma ya Ustawi wa Mtoto) au 112 (Polisi).
Chukua hatua. Toa taarifa. Linda tabasamu la mtoto.”








Meela Furaha Charles Matongo Nhonya Ayoub

Want your public figure to be the top-listed Public Figure in Morogoro?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Culinary Team

Attire

Telephone

Website

Address


Morogoro