MJrealEstate Agent

MJrealEstate Agent

Share

Photos from MJrealEstate Agent's post 20/09/2024

Shamba linauzwa Mikese - Morogoro.

๐Ÿ“Lubungo- Mikese

Liko umbali wa Mita 800 kutoka Barabara kuu ya Dar es Salaam (MORO -DAR ROAD).

- Ukubwa ni Ekari 14.

-Ndani ya Shamba kuna Nyumba mbili kubwa

- Bei ni Tsh. 100,000,000/=

Mawasiliano: 0753 951 492 || 0717 602 666

Photos from MJrealEstate Agent's post 18/09/2024

Kiwanja kinauzwa kiko Lubungo- Mikese.

๐Ÿ“Kiwanja kinatazamana na Barabara kuu ya Dar es salaam

Bei ni Tsh. 20,000,000/=

Mawasiliano: 0753 951 492 | 0717 602 666.

Photos from MJrealEstate Agent's post 04/06/2024

Apartment inapangishwa, Iko Forest jirani kabisa na Sunset Hotel
-๐Ÿ  Vyumba vitatu vyote self
๐ŸŒŠ Maji
โšก๏ธ Umeme
๐ŸŒ Geti
- Fensi
๐Ÿ…ฟ๏ธ Parking
๐Ÿšฝ Public toilet

Kodi kwa mwezi ni Tsh. 700,000/=

Mawasiliano: 0753 951 492 | 0717 602 666 | 0629 261 790.

Photos from MJrealEstate Agent's post 27/03/2024

Tumekabidhi hatimiliki kwa mteja wetu baada ya kukamilisha malipo ya viwanja vyake.

Kwa uaminifu mkubwa na uadilifu tunakuuzia kiwanja kwa gharama nafuu sana na kisha tunasimamia zoezi zima la hatimiliki na pindi unapokamilisha malipo yako tunakukabidhi hatimiliki ya kiwannja chako.

Nunua kiwanja kwa bei za ofa, lipa kidogo kidogo kwa awamu upate hatimiliki ya kiwanja chako.

Karibuni sana wateja wetu tupo kwa ajili yenu kuhakikisha mnapata huduma bora za ardhi ndani na nje ya mkoa wa Morogoro.

Ofisi zetu ziko ofisi namba 203 ghorofa ya pili jengo la NHC Ilipo Equity Bank Morogoro

Mawasiliano: 0753 951 492 | 0717 602 666 | 0745 890 905

Photos from MJrealEstate Agent's post 25/02/2024

KIWANJA KINAUZWA.

kiwanja kiko Block A mvomero na kimepakana na ofisi za halmashauri ya wilaya ya mvomero na pia kiko jirani kabisa na hospital ya wilaya ya Mvomero.

Kiwanja kinaukubwa wa mita za mraba( sqm): 924

- Kiko umbali wa mita 50 kutoka ofisi za halmashauri ya morogoro
- Kiwanja kimepimwa na kina hatimiliki tayari.
- Umeme upo eneo la mradi
- Barabara ya kufika kwenye mradi ni Barabara ya lami na inapitika vizuri.

-Gharama ya kiwanja kwa mita ya mraba (sqm) ni Tsh. 3,000/=

Mawasiliano: 0753 951 492 | 0717 602 666 | 0745 890 905

25/10/2023

*MIRADI YA VIWANJA MOROGORO*

1- KIEGEA B

-7Km toka DSM ROAD
-3km toka Star City
-11km kutoka Dodoma road (Mkundi shell)

*Bei*
-Tsh 3,500/= SQM
-kwa kiwanja cha kawaida cha mita 20:30. Ni sawa na
Tsh 2,100,000/= (2.1M)

*TARATIBU ZA MALIPO*๐Ÿ’ธ

-Malipo ya awali ni 20%
-Miezi 8 inayofuata, 10% kila mwezi

2- KIPERA

-4.5Km toka DSM ROAD
-2km toka Star City

*Bei*
-Tsh 3,500/= SQM
-kwa kiwanja cha kawaida cha mita 20:30. Ni sawa na
Tsh 2,100,000/= (2.1M)

*TARATIBU ZA MALIPO*๐Ÿ’ธ

-Malipo ya awali ni 20%
-Miezi 8!inayofuata, 10% kila mwezi.

3- WAMI SOKOINE

-5Km toka DODOMA ROAD
-25km kutoka Morogoro Mjini

*Bei*
-Tsh 3,000/= SQM
-kwa kiwanja cha kawaida cha mita 20:30. Ni sawa na
Tsh 1,800,000/= (1.8M)

*TARATIBU ZA MALIPO*๐Ÿ’ธ

-Malipo ya awali ni 20%
-Miezi 8 inayofuata, 10% kila mwezi

4. SANGASANGA

-6Km toka IRINGA ROAD (Njia panda ya Mzumbe)

*Bei*
-Tsh 3,000/= SQM
-kwa kiwanja cha kawaida cha mita 20:30. Ni sawa na
Tsh 1,800,000/= (1.8M)

*TARATIBU ZA MALIPO*๐Ÿ’ธ

-Malipo ya awali ni 20%
-Miezi 8 inayofuata, 10% kila mwezi

*Unalipia kidogokidogo ndani ya miezi 8 unakuwa umekamilisha malipo yako na utakua upo kwako.

Mawasiliano:
0753951492 | 0717 602 666 | 0745 890 905 |0744 758 615

Want your business to be the top-listed Realtor/realty Service in Morogoro?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Address


NHC Building, Second Floor, Opposite To Daladala Stand
Morogoro

Opening Hours

Monday 07:30 - 18:00
Tuesday 07:30 - 18:00
Wednesday 07:30 - 18:00
Thursday 07:30 - 18:00
Friday 07:30 - 17:00
Sunday 07:30 - 18:00