Alephicstz

Alephicstz

Share

Photos from Alephicstz's post 21/09/2024

Huna kazi. Anza na UDALALI

Usikae nyumbani BURE. Hata k**a una digrii yako AJIRA siku hizi ni chache.

Hivyo anza kufanya BIASHARA hii inalipa sana.

Kazi yaku nikuwa na simu tu. Unasaka taarifa za viwanja, nyumba zinazouzwa na vyumba vya kupanga n.k. kisha unaanza kujitangaza.

Dalali ni mtu mwenye kuona mbali. Vaa vizuri na jipende pia.

Pandika MATANGAZO kwenye kona za barabara.

Unaweza kulipwa kwa kodi ya chumba kimoja ya mwezi...na

Ya 10% kuifanikisha kuuza kitu folani.

Nikutakie mapambano mema

Rafiki yako,

Alex Maganga

Want your public figure to be the top-listed Public Figure in Morogoro?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Kihonda
Morogoro
255