ROCK FM RADIO
07/03/2026
TANZIA
Mwenyekiti wa kanisa la Waadventista wa Sabato Nyanda za juu kusini mwa Tanzania Mch.Toto Ndege Bwire kusaga.Anatangaza kifo cha Mch.Joseph T Msambwa wa Mtaa wa Malangali Wilaya ya Rungwe mkoa wa Mbeya, kilichotokea tarehe 06/03/2026 mkoani Mbeya.
Mwenyekiti anaungana na familia,waumini na wote walioguswa na msiba huo.Mazishi yatafanyika siku ya Jumatatu tarehe 09/03/2026 Mkoani Njombe.
"Naye atafuta kila chozi katika macho yao"
08/01/2025
Siku 10 za Maombi, Wakati wa kipekee kusogea karibu na Mungu kuweka mipango yetu ya mwaka huu 2025 miguuni pake na kuruhusu atawale maisha yetu.
Wanenaji katika siku 10 za Maombi ni Mch. PAUL SEMBA na MRS. DEBORA URIO.
Shiriki pamoja nasi kupitia Hope channel Tanzania, AWR Tanzania na Rock FM Mbeya, kila siku saa 11.00 -01.00 Jioni.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Mbeya