BOMBA FM RADIO 104.1 Mhz MBEYA
Watu wasiojulikana wanadaiwa kuvamia na kuvunja Ofisi za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Nyasa jijini Mbeya na kuondoka na nyaraka mbalimbali za chama hicho.
Taarifa ya tukio hilo imetolewa na Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Mbeya, Hamad Mbeyale, ambaye amesema tayari wamelijulishaJeshi la Polisi kwa ajili ya uchunguzi huku akiomba wahusika watakapok**atwa wachukuliwe hatua za kisheria.
Mbunge wa Jimbo la Ole, visiwani Zanzibar, Mhandisi Said Salim Hamad, amesema kuwa watu wanaotoa kauli za uchonganishi dhidi ya Muungano wa Tanzania wanafanya hivyo kwa misingi ya chuki binafsi, akisisitiza kuwa hatua hizo haziwezi kuuvunja wala kuudhoofisha Muungano uliodumu kwa miaka mingi.
Mhandisi Hamad amesema wapo Watanzania wengi walio tayari kusimama na kuutetea Muungano kwa gharama yoyote, akieleza kuwa Muungano umeendelea kuwa nguzo muhimu ya amani, umoja na maendeleo ya wananchi wa pande zote mbili za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
19/06/2026
🔥 MAELFU YA WATU WAFURIKA KWENYE KONGAMANO LA MWAMPOSA DODOMA!
Umati mkubwa wa wananchi umejitokeza kushiriki mkutano wa Operation Washa Taa Kila Mkoa, kupitia huduma ya MTUME MWAMPOSA BULLDOZER.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
P O Box 579
Mbeya
255