homeboy_uyole
19/11/2022
Kijanisha Mbeya yetu πpale zahanati ya kata ya Itezi campaign ishazinduliwa,,
19/11/2022
Kijanisha Mbeya Kila kata ,,,,!!!! Mbunge wetu Kashafanya Kwa kishindo,,!!!
Iziwa, itende ,Itezi π€
14/11/2022
"" Asante Mama Mh Rais Mama historia imeandikwa kata ya Itezi ,Tumezindua rasmi Zahanati ya kata ya ITEZI
serikali ya mama kazini
Utekelezaji wa ilani ya Kwa vitendo,π
Mwenye Jiji lake ,,.ackson ,,!!!
Itezi Moja πΉπΏπ
Tumezindua zahanati yetu πΉπΏ
13/11/2022
Tupo Duniani kwa sababu maalumu, Tuendelee kufurahia uwepo wa Mungu ,Kwa kuwa yote yanafanyika Kwa mapenzi yake,πΉπΏ
Sunday na Tabasamu πΉπΏ
11/11/2022
"Kuna wakati wangu ,lakin Kuna wakati sahihi ule wa Mungu, tuendelee kupambana ,
Majaliwa anatukumbusha kwamba, tuendelee kujitolea na kusaidia watu pasipo kujali utapata nn,,,!!!!
Majaliwa ukiachana na kuokoa watanzania wenzetu ,Bhado anabaki kuwa shujaa wa namna kijana inabidi uwe katika jamii, Amekuwa nembo ya Kila Mtaa Leo ,!!
Wale Wana ambao tunaamini katika juhudi zetu binafsi, juhudi zetu ndizo zitutangaze ,Tunatoka familia ambazo mwenyezi Mungu ametubariki , Afya na vipaji lakin tunategemea juhudi zetu ndizo zitufikishe mahala ,japo tunaona Giza , Mungu hachelewi kujibu, tuendeleee kupambana ,IPO siku ,na muda wa Mungu ,Tutakuwa juu,,,!!!
Hongera Majaliwa ,umetupa heshima vijana wa mtaani, Mwenyezi Mungu ametupa Nguvu kupitia majaliwa ,ametukumbusha, kwamba tuendelee kupambana ,,bila kuchoka
Majaliwa , amekuwa na atabaki kuwa kitabu Cha Wana wa Mtaa ,,,kule chini
Wakati wa Mungu ndio wakati sahihi zaidi
03/11/2022
""Bango kubwa muno ,,,!!! Vijana na Fulsa,,!!!! πΉπΏ
tupo hapo !!!!
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Mbeya