LISHE NA AFYA

LISHE NA AFYA

Share

17/10/2024

*🌹Kwanini Unapitia Changamoto Ya Hormonal Imbalance, PID, Fangus na U.t.i sugu Nakupatia Dose hii.......*
Mbali na hizi changamoto wengi mnapitia *maumivu ya mgongo na viungo...*

Unachangamoto hizo tajwa Kisha nakupatia *PROGRAM 1* kwanini ?

Kwenye hii program Huwa naweka dawa mojawapo yenye kukupatia madini katika mwili wako

Nafanya hivi kwakuwa natambua madini mbali mbali hufanya kazi Moja mhimu sana mwili ...
..madini ni mengi kwa pamoja ( zinc, calcium, selenium, phosphorus, sodium, n k)..
.kwa kifupi madini hufanya kazi hizi 👇

▶️Hufanya ujenzi wa tissue nyepesi kwa haraka zaidi

Na ikiwa una PID na majeraha yamezalishwa lazima kutokee repair ya tissue kwa haraka ili upone haraka

▶️Madini mengi huweza kuweka msawazo wa kiwango cha msumo wa damu katika mzunguko,

Hapo nakuwa na Imani kubwa kuwa dawa nyingine zinaenda kufika Katika maeneo mengine mengi kirahisi

▶️Madini mwilini mwako yanaenda kuweka msawazo wa asidi na alkaline hivyo kufanya pH kuwa sawa ....
..na mwili wako kuwa salama na dawa zingine kufanya kazi vyema

▶️Madini husaidia ujenzi na uumbaji vitu mhimu sana katika mwili wako k**a vile *hormones, enzymes, n.k*

Hivyo unapokuwa na changamoto yoyote Ile sugu ikaa vyema kutokana na kuzingatia mpangilio wa dose sahihi

Na usimamizi wa dose lazima ujisikie vizuri

Ndio maana kwa mashuhuda wengi wanawaweza kuwa walikuja kwasababu ya jambo Moja ila wanajikuta wanakomesha na mambo mengine

Matibabu yako huzingatia misingi ya changamoto yako

*Mr . Minga 0764047915*

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Mbeya?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Mbeya
Mbeya