Onemoja maarifa
25/06/2024
Thanks for being a top engager and making it on to my weekly engagement list! 🎉 Ķ Mbombe, Rashidi Mbena, Furaha Mbega, Akulugula Berehani, Bob Rich, Flaviana Chileu, Dito Uliza, Ally Manyanya Manayanya, Maalim Abdul Kareem Hemed, Mwesiga Kikaka
24/06/2024
Mount Kilimanjaro 🇹🇿
Follow page yetu
21/06/2024
Korea kusini yafyatua risasi za onyo kwa wanajeshi wa Korea kasakzini.
Hili limetokea mapema siku ya alhamisi ambapo kutokana na taarifa kutoka katika jeshi la Korea kusini ni kwamba wanajeshi wa Korea kaskazini walivuka eneo lisilo la kijeshi linalofahamika k**a Demilitarized zone ama (DMZ).
Eneo hili ni eneo ambalo lina urefu wa kilomita 250 na upana wa kilomita 4 ambapo haparuhusiwi shughuli yoyote ya kijeshi na hutumika k**a mpaka baina ya nchi hizo mbili tangu mwaka 1953 ambapo makubaliano ya kijeshi kati ya Marekani chini ya mwamvuli wa umoja wa mataifa na Korea Kaskazini.
Ikumbukwe kwamba Korea hizi mbili hazijawahi kusaini mkataba wa amani wala wa kusitisha vita bali ni makubaliano ya kijeshi yaliyofikiwa mwaka 1953.
Korea kusini imedai kuwa kuvuka kwa wanajeshi wa Kaskazini kwenye eneo hilo ni mara ya tatu ndani ya mwezi mmoja na mara zote imeonekana k**a walivuka kimakosa.
Tukio la hivi karibuni lilotokea alhamisi ,limetokea punde tuu baada ya ziara ya Rais wa Urusi Vladimir Putin nchini Korea Kaskazini alipokutana na Kim jong UN.
Hivi sasa nchi hizo zipo katika vita inayofahamika k**a "vita vya map**o" ambapo nchi hizo zimekua zikitumia map**o katika kutumiana vitu mbali mbali.
Korea kusini ilituma p**o likiwa na vipeperushi vya propaganda kuelekea Kaskazini na wao walijibu kwa kutuma map**o ya uchafu kuelekea kusini. Alhamisi pia ilishuhudiwa mwanaharakati wa Korea kusini akishirikian na mwananchi aliewahi kutoroka Kaskazini kutuma map**o 20 kwenda Kaskazini yaliyokuwa yamebeba vipeperushi laki tatu,flashi elfu tano zenye maudhui mbali mbali ya Korea kusini k**a nyimbo,filamu na michezo,lakini pia wakiweka na kiasi cha dola elfu tatu.
Jambo hili lilifanya dada wa kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Yo jong kutoa onyo la vitisho kwa Kusini akisema.
"Unapofanya jambo ambalo ulionywa waziwazi kutofanya, ni kawaida tu kwamba utajikuta ukishughulika na jambo ambalo hukulazimika kufanya," Shirika rasmi la Habari la Korea Kaskazini la Korea Kaskazini lilimnukuu Kim Yo Jong akisema.
Follow page yetu
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Mbeya