Beatho fancy page
10/07/2022
MAMA
MWANDISHI: Beatho Benedict.
SEHEMU YA THERATHINI NA MBILI.
MAWASILIANO;
▶️WhatsApp- 0767464146.
▶️ Gmail- [email protected]
▶️ Website- storiesandscriptwriter.worldpress.com
👉TULIPOISHIA......
Aliingia chumbani na kujifungia mwenyewe! Nafasi yake ikiwa ni yenye kujuta kwa yote aliyo fanya, Kila akiyakumbuka ni k**a nyundo kichwani ama wembe na makali yake alichanjwa nao machoni, ama vile radi ipigayo ingali unatembea na umenyeshewa kwelikweli.
Kumbukumbu zilimrudia za upuuzi alio kwisha kuifanya kwenye maisha yake. Naweza kusema ni k**a mtu alie kua akiishi nje ya ufahamu wake sasa akili zimemurejerea na anaonyeshwa mambo yote aliyo fanya kipindi chote! Alitamani kusema si yeye, lakini hapana angekumbuka vipi mambo ambayo hakuyafanya?
"Kwanini mimi, kwanini niliishia kwenye njia hiyo? Kwanini sikujitambua wakati wote mbaka nakutwa na adhabu k**a hii!!
"Mwisho wa yote hivi ndivo ulivo amua kuniadhibu mimi Mungu baba? Na k**a nikitubu nitasanehewa mimi kweli?"
Endelea........
"Hello mama!"
Alisema Yubeti baada ya kupokea simu na kuiweka sikioni, mpigaji alikua ni mkwewe, yaani mama yake Vivie ama Vivian.
"Samahani mwanangu, haijarishi naomba leo jioni tuonane! Niko na maongezi na wewe ni mhimu sana"
"Bila shaka itakua k**a ulivopanga wewe!"
Walielekezana mazingira ya kukutana na mda.
Akiwa chumbani amejifungia mwenyewe, kitu pekee alichagua ni kulia! Machozi si kumdondoka bali naweza kusema yalimmiminuka hakua wa kula wala kunywa. Lakini ni k**a alipata wazo, akayafuta machozi yake na kusimama akijiuliza ataanzia wapi kwenda na mipango yake.
Alitoka kwa kujiamini na kuingia jikoni, njaa ilikua imemuuma kweli kweli, kwa mda k**a ule mama yake alikua kwenye mizunguko yake mara kwa jilani huyu mara kwa jilani yule! Na alikua na heshma yake kwa sasa kila anako pita alikaribishwa vizuri, wengi walihitaji kuweka nae ukaribu, labda niseme Yubeti ndio alie leta heshma yote hiyo. Kila mtu alitamani kuweka ukaribu.
Hapakua pamepikwa chochote, Prisca alihaha huku na huko, akapata wazo la kupika lakini anakumbuka hajawai kumiliki ata sufuria ama sahani wala kijiko tangu wakati ule akiwa binti mdogo anaishi na mama yake! Hakuwai kupika kwa kipindi chote, alikua akila humohumo kwa mabaa na mahoteli alikisha chukuliwa kutoa huduma za kuburudisha wenyewe wanapesa zinasumbua mifuko yao.
Swala la kupika alijistukia kwamba hawezi, ikabidi ajikague pochi Ina bei gani aende akanunue chakula.
Baada ya mambo yote na mda kupitia mama yake alireje nyumbani, kabla ya yotee alimpigia magoti na kuanza kumwomba msamaha kwa Kila gumu alilomsababishia mama yake.
"Nisamehe mimi mama yangu, sina mwingine wa kumulilia akanielewa mimi! Naomba nisame sana mama!"
"Umekula?
Ni swali alilo uliza bibi, jambo lililo mfanya Prisca ashindwe kumwelewa kabisa maana yeye alitamani kuambiwa amesamehewa ama laa!
"Umekula nini wakati hujapika?"
Swali jingine baada ya bibi Yubeti ama mama yake Prisca kuangalia jikoni, akagundua ata moto haukua umepulizwa. Kabla hajasema chochote mama yake aliendelea kusema;
" Unatakiwa kula vizuri Ili uwe na afya, nilikwambia k**a unahitaji kulia lia sana! Ila kujifungia ndani na kulia tena bila kula wala kunywa haisaidii chochote, unachotakiwa kufanya ni kubadilika sio kuomba omba msamaha apa!
"Msamaha nenda kamwombe mwanao ulie mfanyia ukatili"
Hapakua na laziada, kazi ni kwake kubadilia na kuishi maisha mazuri. Alimpigia simu Yubeti lakini haikupokelewa, alijaribu kurudia mara kadhaa lakini bado Yubeti hakua na mda wa kupokea simu yake. Alijiskia vibaya sana…, akaona amwandikie ujumbe wa maandishi;
"Natambua unahasira sana na mimi japo huonyeshi wazi, lakini chuki ya kweli inatokana na upendo wa dhati. Sifahamu chochote ni kwajinzi gani nilikusababishia wakati mgumu kwa wakati wote mbaka ulipofikia, Nafahamu sasa k**a yote ni makosa yangu! Najua pia ulisha wai jiuliza kuhusu baba yako........
Yubeti ndio alikua akisoma ujumbe huo na wakati huo tayali alikua kashafika pale alipo ombwa afike, lakini alipo soma Habari ya baba kwenye Ile meseji alijikuta akistuka sana na Ile kutupa macho mbele kadri ya maelekezo aliyo pewa, alimwona mkwewe yaani Bi.Fanista lakini hakua ameketi pale mwenyewe!
Yubeti alijikuta anashindwa kuendelea kusogea baada ya kumwona mtu alie kua ameketi pamoja na mkwewe wakimsubili yeye!
Akajikuta anarudi kwa simu kuendelea kusoma Ile meseji, Prisca mama yake aliandika;
"Najua pia ulisha wai jiuliza kuhusu baba yako, baba yako yupo! Nilifanya ujinga mwingi lakini baba yako natambua, k**a umesha nijua mimi unatakiwa kumjuza na baba yako pia! Na usije kumchukua kwa lolote yote ni makosa yangu, mimi ndio sababu yeye kushindwa kuchukulia uangarifu wa malezi yako, naomba sana usije kumchukia baba yako Hana kosa juu Yako"
🤙 Nikumbushe TV wanasababisha tunapata hii burudani fanya kuwa yani💪
Endelea.......
Ni mengi aliyo andika kuonyesha kujuta kwa yote aliyo kwisha kufanya, aliandika ujumbe huo kwa hisia sana, na alionekana kumtetea sana mwanaume alie mpea mimba ya Yubeti.
Yubeti alijikuta akiwa na hisia za tofauti na yule mwanaume alie kaa pale na mkwewe, mwanzo alitamani hata kuondoka lakini kulingana na maelezo ya ujumbe mama yake alimtumia, akaona hana sababu ya kua na hasira kwa mtu asie mjua.
Alisogea na mkwewe alimkarimu vema, zaidi ni salamu na polojo za hapa na pale lakini mara kwa mara Yubeti aligongana macho na yule mwanaume alie keti pamoja nao hapo! Kwani wote alikua wakitizamana kwa kuiba ibiana.
Baada ya mda kupita wakipoza Koo taratibu, utulivu ukiwa wa kutosha, hapo ndipo Bi.Fanista akaona ni mda mwafaka wa kuzungumza kile alicho mwitia Yubeti!
Alianza kwa kusema;
"Yubeti!"
"Naamu mama!"
Naomba nisamehe mimi, na naomba unielwe kwa hichi ninachokwenda kumwambia leo!"
Yubeti ni k**a alishaanza kuelewa nini anakwenda kuambiwa,ila aliwekea umakini zaidi kujua kile kilicho kusudiwa!!!
🌐🌐🌐🌐🌐🌐🌐🌐🌐🌐🌐🌐🌐
Usisahau kuacha comment, nambie umeelewa Nini au na wewe ni k**a Yubeti unawekea umakini kujua Nini mama Vivian anakwenda kuzungumza?
*Tukutane jumapili ijayo apa apa? STORE OF STORIES
👉 We baki na mimi!
Like, comment and share na a,usisahau a kulike ukulasa huu ili usipitwe na simulizi zangu.
Niwatakie wakati mwema na muwe na bahati njema tukutane kwenye comments
🙏🙏🙏🙏🙏
03/07/2022
MAMA
MWANDISHI: Beatho Benedict.
SEHEMU YA THERATHINI NA MOJA.
MAWASILIANO;
▶️WhatsApp- 0767464146.
▶️ Gmail- [email protected]
▶️ Website- storiesandscriptwriter.worldpress.com
👉TULIPOISHIA......
Apo Yubeti ndio akakumbuka k**a alivuliwa pale hotelini, lakini hakua na chakujieleza.
"Ivi Yubeti! Unakaribia kua chizi siyo, ivi inawezekanaje wewe kutembea na mama yako!"
"Inawezejana nishakua chizi, vipi unafikiri kwa akiri ata za kuanza kua chizi mi naweza kufanya Ivo!"
"Kwahiyo unataka kubisha sio? Basi nambie ulikua wapi leo!"
Vivian alikua kavurugwa kweli, alikwenda jikoni na kutoka na kisu na alihitaji kumdhuru nacho, lakini bahati nzuri Yubeti akiona, kisu kilikua kinaenda kumkita kifuani akakizuia kwa mkono!
Endelea.......
Basi mkono ndio ulio dhurika kwani alizuia kisu kwenye makali, Vivian alishuka mpini wake! Inaelekea hakupata maumivu yoyote Yubeti kwani aliendelea kushikilia kile na damu zilianza kuchuruzikapale mkononi!!!!
Vivian aliogopa sana, tena kwa jinzi Yubeti alivo kua kamokodolea macho bila ya kupepesa pembeni! Vivian alianza kutetemeka misiri ya mtu alie pigwa baridi ya alfajiri pale Njombe mwezi wa sita ama pale Arusha!
"K**a ukitaka kuuwa basi hustahili kutetemeka k**a hivo, hata hivo mikono Yako ni laini sana Mungu alikuumbia utumie kunikandakanda mimi nipate raha hivo haifai wewe kushika visu k**a hivi!
"Lakini sijaumia na nafurahi kuona mke wangu anajari sana kuhusu mimi na hapendi nifanye makosa mimi!"
🤙Iko tv channel pale YouTube inaitwa Nikumbushe TV , ukipita huko subscribe channel hii pia wako hapa pia wanapatikana na follow them👈
Endelea........!
Alisema Yubeti akimtaka Vivian aachie kile kisu, Kisha akakirusha pembeni. Alizama mfuko mwake na kuzama mfukoni, alitoka simu yake na kumpigia mtu! Baada ya kupiga alisikika akisema-;
"Nitumie izo video!"
Ndivo alivo sema Yubeti, na haikumchukua mda inaonekana alipokea izo video alizo omba!
Alicheza na simu yake naona mwisho alikua ameweka Ile video aliyo tumiwa tayari kwa kutizamwa, aliunganisha kwa tv yao na kwa tv alionekana yeye akiwa anaingia kwenye Ile hoteli aliyo kwenda kukutana na mama yake ambapo ilisadikika walikwenda kufanya visivyo fanyika, isipo kua kwa yule mmakonde anaweza pengine maana aliimba akisema 🎶yeye anafanya visivyo fanyika🎶
Mda wote Vivian alikua kajikunyata misiri ya mtu alie subilia tu kufanywa kitoweo na simba alie kua kashambananisha kwenye kumi nanane zake!
"K**a nikisema chochote ni ngumu kuamini Ili hali umenitilia mashaka we kwenye moyo wako, nafikiria ukitizama hii video utapata majibu ya maswali unayo jiuliza mwenyewe!"
Kumbe Yubeti alikua na mawasiliano na alishaa andaa Kila kitu kabla ya yeye kwenda pale hotelini alisha onana na ulinzi wa pale! Kwa vile ilikua hoteli ile ilikua na hazi ya nyota tano basi ilikua na kamera za ulinzi hivo Yubeti aliomba yeye arekodiwe kuanzia anavo ingia mbaka kutoka kwake na mwisho wamtumie video hizo!
Na ndivo kila kitu kilikwenda, Yubeti alifahamu endapo kitajulikana kile anacho kwenda kufanya itakua ngumu watu kumwamini kwamba hakufanya chochote.
Baada ya Vivian kutizama ile vision ambayo ilionekana vile vile k**a Prisca alivo simulia kila kitu ndivo ilivo onekana kwa ile video.
Vivian alijikuta mwenye kujilaumu kwa kushindwa kumwamini Yubeti mmewe, na wakati huo Yubeti alikua zake kwa bafu akijisafisha na kujipea huduma ya kwanza jeraha alipata baada ya kuzuia kisu alicho zuia kisimchome.
"Nisamehe Yubeti, kweli mimi ulinichanganya mme wangu!"
"Nilijua pengine ungehitaji kuachana na mimi baada ya mi kufanya mambo ya aibu k**a haya lakini ulicho fanya inaonyesha kabisa wewe ndio hatma ya maisha yangu mimi, nakupenda sana mke wangu!"
Ndivo alivo sema Yubeti, Wala hakujari kwa lolote! Vivian alimulukia na kumkumbatia kwa nguvu! Kumbato la huba, kumbato la kuleta hisia, kumbato lenye joto na lenye kusheheni utamu usingependa kung'atuka.
Kijijini anaoneka Prisca, kinyongo sana anatia timu nyumbani kwa mama yake na mabegi yake! Alilikimbia jiji kwa lazma, alifika na kutizama sana kinyumba alichowajengea marehemu baba yao, na kilinganisha na unyama alio fanya Yubeti pale kijijini, haijawai fanyika kabla.
"Mama kwanini hukunambia mimi!"
Aliangua kilio Prisca baada ya kumwona mama yake, alijikuta akimulauma mama yake ili hali makosa yote ni yake! Alimulaum mama yake kwa kunidanganya siku zota kuhusu Yubeti mwanae.
Aliendelea kulia akiwa amejiegemesha mwilini mwa mama yake ambae nae mawazo yalikua mbali sana. Alikumbuka miaka kadhaa iliyo pita Yubeti aliporudi kwa mara ya kwanza toka mjini akimwambia-;
"Bibi nimefanikiwa kumwona mama yangu mimi, bibi nakuaahidi nitamrudiaha hapa nyumbani na ataishi vizuri!"
Alimwapia Yubeti siku hiyo, na bibi alimtakia bahati njema. Kwahiyo kwa ujio ule wa Prisca bibi aliamini Yubeti kasha sababisha, bibi alimuuliza bintie;
"Inamaana umerudi kwangu tena au umekuja kunilaumu tu!"
"Nitaificha wapi sura yangu mimi mama! Kwanini uliruhusu mimi kwenda mjini wakati ule? Ulitakiwa kua mkali na kunizuia mimi!"
Naona ilikua ni njia pekee ya yeye kupunguza mizigo ya mabaya aliyo beba, alichagua kumulaumu mama yake kwa kila kitu.
"Asie funzwa na mamae atafunzwa na ulimwengu hivi ndivo ilivo maanishwa mama?"
"Hata mi naona!"
music Niko pale YouTube lakini Niko na page yangu and follow me, YouTube uko wimbo bomba unaitwa karibu nenda na ucheki
Endelea........!
Kwa jinsi alivo kua akilia hata mama yake alimwinea huruma, ingawa alisha mkosea sana! Alimwachia amalize kuzungumza yote anayo hitaji kuyasema Kisha akamwanbia;
"Sina namna yoyote ya kukusaidia kulingana na vile unavojiskia, hivo unatakiwa kupambana mwenyewe na hiyo hali! K**a ni maumivu sijui ni kiasi gani unapata? Lakini k**a unachochote cha kusema Ili upunguze maumivu unayo apata usisite kuzungumza! K**a ni kumulaumu mtu mlaumu kwelikweli na k**a ni kujuta na utahitaji kulia basi lia sana, jifungie ndani na ulie kwelikweli utakapo nyamaza utakua umeipata thuruhu ya tatizo lako! Kitakacho kunyamaziana ndio tiba ya maumivu unayo yapata!
"Lakini njia pekee ya kujitoa huko ni kutubu na kusahau kila kitu ukiishi k**a kiumbe mwingine ambae hajawai kuwepo duniani"
Maneno pekee ambayo mama aliona yanafaa kuzungumza kwa wakati ule katika hali k**a ile.
Ni kweli baada ya pale Prisca alijitoa mwilini mwa mama yake, aliangaza huku na kule alikuta picha ya familia! Yaani bibi, Yubeti na mkewe Vivian lakini upande mwingine kulikua napicha yake nzuri tu pia iliwekwa kwamba nae ni mmoja kati ya watu wa mle ndani.
Picha hiyo aliiweka Vivian, Prisca alijisikia tumaini kuona licha ya mambo yote bado Yubeti alijari kuhusu yeye na hata kutafuta picha zake na kumuweka kwa nyumba.
Aliingia chumbani na kujifungia mwenyewe! Nafasi yake ikiwa ni yenye kujuta kwa yote aliyo fanya, Kila akiyakumbuka ni k**a nyundo kichwani ama wembe na makali yake alichanjwa nao machoni, ama vile radi ipigayo ingali unatembea na umenyeshewa kwelikweli.
Kumbukumbu zilimrudia za upuuzi alio kwisha kuifanya kwenye maisha yake. Naweza kusema ni k**a mtu alie kua akiishi nje ya ufahamu wake sasa akili zimemurejerea na anaonyeshwa mambo yote aliyo fanya kipindi chote! Alitamani kusema si yeye, lakini hapana angekumbuka vipi mambo ambayo hakuyafanya?
"Kwanini mimi, kwanini niliishia kwenye njia hiyo? Kwanini sikujitambua wakati wote mbaka nakutwa na adhabu k**a hii!!
"Mwisho wa yote hivi ndivo ulivo amua kuniadhibu mimi Mungu baba? Na k**a nikitubu nitasanehewa mimi kweli?"
🌐🌐🌐🌐🌐🌐🌐🌐🌐🌐🌐🌐🌐
🏹Je? Akitubu atasamehewa?
Nitakwenda kuwauliza wachungaji, lakini tutapata majibu kwenye sehemu inayo fuata?
*Tukutane jumapili ijayo apa apa? STORE OF STORIES
👉 We baki na mimi!
Like, comment and share na a,usisahau a kulike ukulasa huu ili usipitwe na simulizi zangu.
Niwatakie wakati mwema na muwe na bahati njema tukutane kwenye comments
🙏🙏🙏🙏🙏
26/06/2022
MWANDISHI: Beatho Benedict.
SEHEMU YA ISHIRINI NA THERATHINI.
MAWASILIANO;
▶️WhatsApp- 0767464146.
▶️ Gmail- [email protected]
▶️ Website- storiesandscriptwriter.worldpress.com
👉TULIPOISHIA......
"Ebu, kwahiyo unataka kusema Ile mimba Prisca hakuitoa si ndiyo!"
"Iligoma kutoka?"
"Yuko wapi sasa mwanangu?"
Ikiwa ni siku inayo fuata ndio Ile ya mwanzo kabisa mwasimulizi yetu, mimi nilipo mkuta kijana nje ya nyumba yake akiwa na mwanamke alie jiita mwenyewe kua ni mama mtu!
Basi hao walikua ni Yubeti na mama yake, Prisca! Na yote uliyosoma ndiyo yaliyo pelekea kuto kua na maelewano mazur kati ya mama na mtoto yaani Prisca na Yubeti.
Endelea.........
Ni Serina alie amua kumfwa rafiki yake Prisca, amwsmbie nini walifanya kule kwa hoteli kati yake na Yubeti.
"Kumbe ulikua unafahamu siku zote kua yule ndio Yubeti, lakini hukutaka kuniambia! Kwani laki Serina?"
Akilalama Prisca baada ya kumwona rafiki yake wa siku nyingi kamtembelea.
Na hopo ndio tunapata kujua ilikuaje kule hotelini?
Baada ya maandalizi yote Prisca alifanya na kukubaliana kukutana na Yubeti kwaajiri ya faragha yao ya kwanza tangu wawe wapenzi!
Kila kitu kulikua shwali mbaka pale Yubeti alipo ingia, kwa mahaba na furaha kubwa alimkimbilia na kumkumbatia kwa nguvu the na wakatulia Ivo kwa mda.
Na vile Prisca ni fundi, mtundu kwa maswala mazima ya chumbani hakutaka kusubiri alianza kumsaula Yubeti! Alimtoa koti lake la suti akamtoa na tai...... Lakini alipo taka kumfungua mkanda, Yubeti akamuzuia!
🤙Hello watu wangu wa nguvu mkipita pale YouTube Niko na kawimbo kangu mnaweza kukatizama kidogo channel inaitwa na utaona vingi tu uko karibuni 🎶🎶🎶🎶🎶🎶
🏹Usisahau;🤏 KU_ SUBSCRIBE
🤏 LIKE
🤏 COMMENT & SHARE
👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌
"Kwanini? Au mkeo hajawai kukufanyia ivi na unajiskia aibu!"
Aliuliza Prisca, lakini Yubeti hakumjibu alichukua begi yake ya mkononi maarufu k**a blufukesi na kuifungua, na alionekana kushika picha, picha flani iliyo choka kidogo, dhahiri ilionekana kua ni ya zamani kidogo!
Kwa vile alikua amemgeuzia mgongo! Prisca hakuweza kuona chochote, na Yubeti aliendelea kusimama vile kwa mda akiitizama Ile picha.
"Maisha uliyo ishi, uliishi kwasababu ya pesa, ukafanya kila kitu kwaajili ya pesa na hukuhofu chochote mbele ya pesa!"
Alisema Yubeti akiwa ameshika Ile picha na alipo geuka, aligeuka na Ile blufukesi na ilikua imekaa pesa!
"Kelvini mbona sikuelewi?"
Aliuliza kwa mshangaao Prisca, kwani Yubeti alimfahamu k**a Kelvini yeye alivo tambulishwa.
"Sijui ni kiasi gani cha pesa ulikua unahitaji katika maisha yako Ili uishi k**a wa binadamu mwenye hisia na aibu hata hofu!"
Kwa vile Prisca hakujua kinacho endelea, hakua na mda wa kuikataa Ile pesa! Na hakika zilikua millioni kadhaa.
"Sikuja kwa jambo lolote mimi apa, ila Nina jambo dog Naomba unisaidie!"
Yubeti alimkabidhi Prisca mama yake Ile picha, ni picha Yubeti alipatiwa na bibi yake, mwanzo kabisa alipo kua akimpa hadithi ya kuzaliwa kwake, picha ya Prisca kipindi angalia binti mdogo, tena angali kijijini.
Prisca alistuka sana alipo mwona mtu yule wa kwenye picha, akamwangalia Yubeti Vuzuri! Kunataswira ilimjia kichwani mwake, Kila alipo mtizama Yubeti kuanzia kimo chake, mwili wake flani sio kubwa sio dogo, bashasha na malingo yake anapo ongea lazima atenbeetembee k**a amesimama lakini pia mikono huenda kwa vitendo!
Kumbukumbu flani mfano wa radio ziligonga kichwani mwake, alikumbuka takribani miaka ishirini iliyo pita kuna mwanaume k**a huyo alisimama mbele yake namna Ile na kumulaumu sana!
"Kwasababu ya pesa, ndio unafanya yote haya! Huna hofu, huna hisia wewe? Yule mwanamke anakuhalibia maisha yako wewe! Kwanini lakini wewe, nikisema nitafanya Kila kitu angalau unidhalie uyo mtoto, mwisho wa siku umetoa mimba yangu Prisca
"Inamaana Mungu alikupa uzuri akakunyima upendo wewe! Mbona hufanani na matendo Yako we mwanamke?"
🤙Kuna online tv channel inaitwa Nikumbushe TV wapo na kule fanya kuwa na k**a kawaida like, comment, share kwenye post zao na Usisahau ku_
Alikua akilalama sana mwanaume huyo!
Hiyo ni kumbukumbu ya Prisca, lakini bado hakupata picha kamili kujua ni nani huyo mwanaume kwani ni zaidi ya miaka ishilini ilishapita tangu yote ayo yatokee.
"Unamfahamu huyo wa kwenye picha?
"Ni mtu ambae nilitamani kumfahamu na nikamtafuta kujua kuhusu yeye tangu ningari mdogo sana!
"Bibi yangu alinambia huyo ndio mama yangu! Mama alie nipatia zawadi ya jina zuri la Yubeti lakini akaninyima Kila kitu nilichostahili toka kwake kwa pumziko lote la maisha niliyo ishi!
"Anaitwa Prisca ye jina lake, k**a ukimwona mwambie natamani sana kumwona japo mara moja, na umwambie ni Yubeti ndio anataka kuona!"
Wakati Yubeti anaongea yote ayo, ilikua k**a ndoto kwa Prisca, hakuamini k**a inawezekanaj mambo yote yakaishia k**a vile!
Na Yubeti hakua na lakusubili pale k**a ni picha na pesa vyote alimwachia mama yake ambae alishindwa kabisa kufanya chochote ni k**a kupalalaizi, hakua ata na nguvu za Julia adondoshe chizi labda.
Yubeti alitoka zake, na vile alitoka akiwa anavaa Vuzuri baada ya yote yaliyo tokea, na walio mwona walimtafsiri k**a katoka kufanya maangamizi! Hasa kwa upande wa Vivian ambae alimvisha tai mmewe wakati anaondoka lakini alishangaa kuona hana tai shingoni! Mana yake k**a wamevuana nguo hakuna usalama kabisa! Hivo ndivo aliamini Vivie ama Vivian.
Na hata kule Yubeti alimwitia hakutaka kwenda kabisa. Siku iyo Yubeti alikua na kusubiri sana lakini mkewe hakutokea. Na simu yake haikupatikana.
Hapo to alipata wazo la kukagua jumbe za maandishi alizo tumiwa kwa simu yake.
Akagundua mchongo ulivuja, na k**a ulivuja basi huenda hata mkewe kapata habari! Ikambidi awai nyumbani.
Nikweli hali ya hewa haikua shwali, baada ya kiingia tu ndani na mkewe kumwona alisimama na kumnasa vibao ye kwenye shavu lake hata bila maelezo!
"Nambie umefanya nini wewe, tai niliyo kufunga nani huyo kaifungua?"
Apo Yubeti ndio akakumbuka k**a alivuliwa pale hotelini, lakini hakua na chakujiekeza
"Ivi Yubeti! Unakaribia kua chizi siyo, ivi inawezekanaje wewe kutembea na mama yako!"
"Inawezejana nishakua chizi, vipi unafikiri kwa akiri ata za kuanza kua chizi mi naweza kufanya Ivo!"
"Kwahiyo unataka kubisha sio? Basi nambie ulikua wapi leo!"
Vivian alikua kavurugwa kweli, alikwenda jikoni na kutoka na kisu na alihitaji kumdhuru nacho, lakini bahati nzuri Yubeti akiona, kisu kilikua kinaenda kumkita kifuani akakizuia kwa mkono!
🌐🌐🌐🌐🌐🌐🌐🌐🌐🌐🌐🌐🌐
🏹unataka kujua kilichotokea baada ya hapo?
Kwa wakati k**a huo Yubetiatamweleweshaje Vivian k**a hajafanya chochote na mama yake.
*Tukutane jumapili ijayo apa apa? STORE OF STORIES
👉 We baki na mimi!
Like, comment and share na a,usisahau a kulike ukulasa huu ili usipitwe na simulizi zangu.
🙏🙏🙏🙏🙏
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the organization
Website
Address
Mbeya
Opening Hours
| Friday | 20:00 - 23:00 |
| Sunday | 19:30 - 12:00 |