Access Fm Radio

Access Fm Radio

Share

19/01/2023

Mchezaji qa timu ya vijana U17 ya singida big stars mohammed maarufu Banda amefariki mazoezini mara baada ya kugongana na mchezaji mwenzake wakati wakigombea mpira wa juu.

Mwenyekiti wa chama cha soka mkoa wa Singida (Sirefa), Hamis Kitila amethibitisha kutokea kwa kifo hicho.

Ni kweli walikuwa kwenye mazoezi asubuhi jina la marehemu anaitwa Mohammed hili Banda ni la utani anajulikana zaidi kwa jina hilo amesema kitila.

19/01/2023

NAWEZA KURUDI KWENYE MEDIA
Ameyasema hayo alipo hojiwa kupitia kipindi cha amefunguka mengi kwamba anaweza kurudi tena na kua Presenter.

19/01/2023

Catch Him Live On TAASISI YA BURUDANI ... B56, B PLUS, THE BIG DADDY...NDEGE LA KIVITA KUTUA uwanja wa BURUDANI POWER CLUB SHOW
100.9

18/01/2023

Mpira ni mapumziko ikiwa hamna mbabe
Simba 1 mbeya city 1

Want your business to be the top-listed Media Company in Mbeya?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Old Forest, Mzumbe Area MBEYA
Mbeya