Access Fm Radio
19/01/2023
Mchezaji qa timu ya vijana U17 ya singida big stars mohammed maarufu Banda amefariki mazoezini mara baada ya kugongana na mchezaji mwenzake wakati wakigombea mpira wa juu.
Mwenyekiti wa chama cha soka mkoa wa Singida (Sirefa), Hamis Kitila amethibitisha kutokea kwa kifo hicho.
Ni kweli walikuwa kwenye mazoezi asubuhi jina la marehemu anaitwa Mohammed hili Banda ni la utani anajulikana zaidi kwa jina hilo amesema kitila.
19/01/2023
NAWEZA KURUDI KWENYE MEDIA
Ameyasema hayo alipo hojiwa kupitia kipindi cha amefunguka mengi kwamba anaweza kurudi tena na kua Presenter.
19/01/2023
Catch Him Live On TAASISI YA BURUDANI ... B56, B PLUS, THE BIG DADDY...NDEGE LA KIVITA KUTUA uwanja wa BURUDANI POWER CLUB SHOW
100.9
18/01/2023
Mpira ni mapumziko ikiwa hamna mbabe
Simba 1 mbeya city 1
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Old Forest, Mzumbe Area MBEYA
Mbeya