DAMBE

DAMBE

Share

28/09/2024

Eng. Wetu akiwa ameongeza ujuzi za wa solar katika training iliyoandaliwa na Agenergies wakishirikia na Victron Energy Dar es salaam. Ndugu mteja, ukiwa na mradi wako wowote wa solar upo kwenye mikono salama ukiwa pamoja nasi. 📞 0746 021 060 au tembelea office zetu zilizopo Sokoine jijini Mbeya kupata huduma bora za mitambo ya solar.

Photos from DAMBE's post 12/09/2024

Mtambo wa solar wa umeme unaotoa volt 220, ambao mtambo huu pichani unafaa kwa matumizi ya saluni, Maduka ya uwakala, na matumizi mingine madogo madogo. Gharama ya mtambo huu ni Sh 3,500,000/= unakuja na vitu vifuatavyo.
👉 Hybrid inveter yenye ukubwa wa 1.5Kw
👉 Panel za watt 300 pc 3.
👉 Solar batteries 12V/150AH pc 2
👉 Lighting accessories.
Kumbuka kuwa mtambo huu hata umeme ukikatika hutaweza Kujua kwani ni automatic. 📞 0746 021 060 au tembelea ofisi zetu zilizopo sokoine mkabala na Mbeya hotel.

29/08/2024

Je wewe ni mkazi wa Mbeya na unahitaji Solar water heater? Tunazo solar water heater kwa matumizi ya nyumbani hadi kwa ajili ya biashara. Tupigie Leo au whatsapp us # 0746 021 060

Want your business to be the top-listed Contractor in Mbeya?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Website

Address


2308
Mbeya
53201

Opening Hours

Monday 08:30 - 17:00
Tuesday 08:30 - 17:00
Wednesday 08:30 - 17:00
Thursday 08:30 - 17:00
Friday 08:30 - 17:00
Saturday 08:30 - 17:00