Dar Rapid Transit Agency - DART
12/09/2013
FURSA: Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka Jijini Dar es Salaam (DART) umeandaa mkutano wa pamoja na wamiliki wa magari ya daladala katika Jiji la Dar es Salaam ili kuwafahamisha wamiliki hao FURSA za uwekezaji katika mfumo wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART). Mkutano huu utafunguliwa na kuongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mh. Meck Sadik na utafanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Julius Nyerere siku ya Alhamisi terehe 19 Septemba, 2013 Tafadhali wadau sambazeni ujumbe huu ili watu wachangamkie fursa hizi...
09/09/2013
...na sisi tunavunja sheria pia!
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Address
Kariakoo