Dar Rapid Transit Agency - DART

Dar Rapid Transit Agency - DART

Share

Photos 12/09/2013

FURSA: Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka Jijini Dar es Salaam (DART) umeandaa mkutano wa pamoja na wamiliki wa magari ya daladala katika Jiji la Dar es Salaam ili kuwafahamisha wamiliki hao FURSA za uwekezaji katika mfumo wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART). Mkutano huu utafunguliwa na kuongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mh. Meck Sadik na utafanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Julius Nyerere siku ya Alhamisi terehe 19 Septemba, 2013 Tafadhali wadau sambazeni ujumbe huu ili watu wachangamkie fursa hizi...

Photos 09/09/2013

...na sisi tunavunja sheria pia!

Want your business to be the top-listed Transport Service in Kariakoo?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Kariakoo