ILULA FDC
08/04/2026
NAFASI ZA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UFUNDI STADI NGAZI YA TATU
PAKUA FOMU YA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UFUNDI STADI KATIKA CHUO CHA MAENDELEO YA WANANCHI ILULA
UKISHA JAZA FOMU IRUDISHE CHUONI AU UNAWEZA TUMA KWA NJIA YA WHATSAPP
KUPITIA NAMBA ZIFUATAZO: 0768 781 792, 0757 517 343, 0652 895 909
07/02/2026
With BRAC Maendeleo Tanzania – I just got recognized as one of their top fans! 🎉
21/01/2026
Karibuni kujiunga nasi — udahili bado unaendelea!
01/01/2026
Heri ya Mwaka Mpya 2026!
Tunawakaribisha kujiunga na mafunzo ya ufundi stadi.
Udahili bado unaendelea kwa kozi zifuatazo:
Umeme,Ushonaji,Ufundi Bomba,Upishi,Ujenzi na
Uundaji wa Vyuma
Mahali:
Ilula, Mkoa wa Iringa — km 45 kutoka Mji wa Iringa, kando ya barabara kuu ya Dar es Salaam–Mbeya.
Upatikanaji wa fomu:
Fomu zinapatikana chuoni (Ilula FDC – Staff)
au omba fomu kupitia WhatsApp kwa namba zifuatazo:
📲 0768 781 792 | 0757 517 343 | 0652 895 909
Mawasiliano:
📧 Barua pepe: [email protected]
Karibu ujisajili mapema.
26/12/2025
Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Ilula (Ilula FDC) kinawatangazia wananchi wote nafasi za kujiunga na Mafunzo ya Ufundi Stadi (Ngazi ya Kwanza) kwa mwaka 2026.
📍 Mahali:
Ilula, Mkoa wa Iringa — km 45 kutoka Mji wa Iringa, kando ya barabara kuu ya Dar es Salaam–Mbeya.
Fomu zinapatikana Chuo (ILULA STAFF) au
📲 Au omba fomu kupitia WhatsApp kwa namba zifuatazo:
0768 781 792 | 0757 517 343 | 0652 895 909
✍️ Baada ya kujaza fomu:
Irudishe chuoni au itume kupitia WhatsApp.
Emmanuel Mwigune MsabatoOrgElias Musasta@followers
Joas ChungwaBRAC Maendeleo TanzaniaIPOGOLO,KIHESA,CAGRIELO,IGUMBILO,KITWIRU&IRINGA MJINI BUY AND SELL DEALSTulizo MhapaWAHEHE KUTOKA MKOA WA IRINGAShamba Fm Radio
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the university
Telephone
Website
Address
Ilula
Iringa
255