Benjamin the seer
MAONO
Na nilipoingia kuutafuta uso wa Bwana kwa siku nne Kwa kufunga na kuomba kwa ajili ya TAIFA langu,
Bwana akanionyesha,
Maji yenye nguvu yakiwa yanafurika juu ya daraja,watu wakawa hawawezi kuvuka.
Tena nikaonyeshwa kundi la Wachawi wakifanya mambo Yao ya giza.
Bwana akanionyesha tena NYOKA mkubwa akiwa AMEKATWA KICHWA kinachuruzika DAMU nyingi mpaka ililowesha mavazi yangu na watu wengi wakawa wameenda kumshangaa yule NYOKA.
Kitabu cha Ufunuo kimeeleza JOKA k**a ni ufalme wa Rumi uliotaka kumwangamiza Yesu katika utoto wake lakini Mungu akamtoroshea nyikani yule mwanamke aliyetoka kujifungua na lile Joka kubwa jekundu likatema nyuma yao MAJI mfano WA MTO Ili uwagharikishe,Mungu akampa yule mwanamke uwezo
wa kuruka kwa mbawa Hadi nyikani alikolishwa kwa muda wa miaka mitatu na nusu mpaka adui yao(HERODE) alipokufa.
Yeremia 33:3 inasema, Niite nami nitakuitikia,nami(Mungu) nitakuonyesha mambo makubwa magumu usiyoyajua.
Joka kukatwa kichwa ni ishara ya ushindi.
LIPO TUMAINI.
Stay tuned
Usiondoke endelea kufuatilia updates
Ufunuo wa Yohana 6:9-10
[9]Na alipoifungua muhuri ya tano, nikaona chini ya madhabahu roho zao waliochinjwa kwa ajili ya neno la Mungu, na kwa ajili ya ushuhuda waliokuwa nao.
And when he had opened the fifth seal, I saw under the altar the souls of them that were slain for the word of God, and for the testimony which they held:
[10]Wakalia kwa sauti kuu, wakisema, Ee Mola, Mtakatifu, Mwenye kweli, hata lini kutokuhukumu, wala kuipatia haki damu yetu kwa hao wakaao juu ya nchi?
And they cried with a loud voice, saying, How long, O Lord, holy and true, dost thou not judge and avenge our blood on them that dwell on the earth?
DAMU INALILIA HAKI
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Kibwabwa
Iringa