Dodoma YOUTH Development Organization -doyodo

Dodoma YOUTH Development Organization -doyodo

Share

20/01/2026

TANZANIA YOUTH DEVELOPMENT FORUM
TYDF 2026

Photos from Dodoma YOUTH Development Organization -doyodo's post 04/09/2025

03/09/2025 Mkurugenzi Mtendaji wa DOYODO na Mwenyekiti wa Jukwaa la Maendeleo ya Vijana Tanzania (TYDF), Ndg. Rajabu Juma Suleiman, ameongoza kikao cha robo ya pili ya mwaka cha Wadau na Kamati Tendaji cha TYDF kilichofanyika katika ofisi za Marie Stopes, jijini Dar es Salaam. Kikao hiki kiliangazia uwasilishaji wa mpango na bajeti ya TYDF 2026.

Kikao kilitoa mwelekeo mpya na kuimarisha mshik**ano wa pamoja kati ya wadau kwa lengo la kuhakikisha TYDF linaendelea kuwa jukwaa shirikishi, lenye manufaa makubwa kwa vijana na lenye utekelezaji wenye ufanisi. TYDF linaendelea kuthibitisha nafasi yake k**a chombo muhimu cha kuwakutanisha vijana na wadau mbalimbali katika kuendeleza ustawi na maendeleo ya vijana nchini.

Want your organization to be the top-listed Non Profit Organization in Dodoma?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Address


Dodoma

Opening Hours

Monday 08:00 - 16:00
Tuesday 08:00 - 16:00
Wednesday 08:00 - 16:00
Thursday 08:00 - 16:00
Friday 08:00 - 16:00