Dodoma YOUTH Development Organization -doyodo
20/01/2026
TANZANIA YOUTH DEVELOPMENT FORUM
TYDF 2026
04/09/2025
03/09/2025 Mkurugenzi Mtendaji wa DOYODO na Mwenyekiti wa Jukwaa la Maendeleo ya Vijana Tanzania (TYDF), Ndg. Rajabu Juma Suleiman, ameongoza kikao cha robo ya pili ya mwaka cha Wadau na Kamati Tendaji cha TYDF kilichofanyika katika ofisi za Marie Stopes, jijini Dar es Salaam. Kikao hiki kiliangazia uwasilishaji wa mpango na bajeti ya TYDF 2026.
Kikao kilitoa mwelekeo mpya na kuimarisha mshik**ano wa pamoja kati ya wadau kwa lengo la kuhakikisha TYDF linaendelea kuwa jukwaa shirikishi, lenye manufaa makubwa kwa vijana na lenye utekelezaji wenye ufanisi. TYDF linaendelea kuthibitisha nafasi yake k**a chombo muhimu cha kuwakutanisha vijana na wadau mbalimbali katika kuendeleza ustawi na maendeleo ya vijana nchini.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the organization
Telephone
Website
Address
Dodoma
Opening Hours
| Monday | 08:00 - 16:00 |
| Tuesday | 08:00 - 16:00 |
| Wednesday | 08:00 - 16:00 |
| Thursday | 08:00 - 16:00 |
| Friday | 08:00 - 16:00 |