UNI_Updates.tz
12/02/2023
PR EXCELLENCE AWARDS ni mashindano ya kumpata afisa uhusiano. Je umepiga Kura kumpendekeza Public relations officer (PRO) Bora atakaeye wania tuzo hii.
Usikose, tarehe 18 February,2023 pale JNICC Dar es salaam Ambapo tuzo hizo za umahili zitatolewa . Fatilia ujue k**a afisa uhusiano uliyemchagua atawania tuzo hii.
09/02/2023
Leo, februari 9,2023 katika ukumbi wa idara ya habari (maelezo) jengo la PSSSF makole Ghorofs ya 8, Dodoma, Kaimu mkuu wa Chuo cha Bahari Dar-es-Salaam(DMI), Dkt. Tumaini Gurumo amefanya mkutano na vyombo vya habari akizungumzia utekelezaji wa majukumu ya Chuo kwa kipindi cha awamu ya sita.
Dkt. Gurumo amebainisha kuwa chuo kinatoa elimu na mafunzo ya ubaharia kuanzia madaraja ya usaidizi(Ratings) hadi madaraja ya juu ya maofisa wa melini kwa upande wa uongozaji meli au unahodha na uhandisi wa mitambo ya meli(master marine and chief marine engineer). Awali mafunzo haya yalikuwa yakikomea daraja la tatu na la nne la maofisa wa vyombo vya usafiri majini.
Habari kamili na picha kutoka ukurasa wa .
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Dodoma