Project Bible
24/05/2023
2:1:4
Yesu Amponya Mtu Aliyepooza
2 Baada ya siku kadhaa Yesu alirudi Kapernaumu; watu waka pata habari kuwa amerudi nyumbani. 2 Wakakusanyika kwa wingi isibaki nafasi hata mlangoni! Naye akawahubiria. 3 Wakaja watu wanamletea Yesu mtu aliyepooza, akiwa amebebwa na watu wanne. 4 Waliposhindwa kumfikia Yesu kwa ajili ya msongamano wa watu, wakatoboa tundu darini, wakamshusha ndani yule aliyepooza kwa kitanda alichokuwa amelalia.
Want your place of worship to be the top-listed Place Of Worship in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Boko Tegeta
Dar Es Salaam