ExtraPower Tv

ExtraPower Tv

Share

08/06/2026

Klub ya Azam fc imeanza kuboresha kikosi chake kwa kuwaongezea mikataba wachezaji wake Muhimu. Baada ya wiki iliyopita kumuongezea mktaba kocha Ibenge, tayari wiki hii wamemsainisha mkataba mpya winga wa Idi seleman nado.

Nado ameongeza mkataba wa miaka miwili kuitumikia klub ya Azam fc, mkataba wa nado ulikuwa unaisha mwishoni mwa mwezi huu wa sita.
Kwa mujibu wa Taarifa za ndani ya Azam fc tayari CEO wa azam fc yupo mezani na wachezaji kadhaa ikiwemo fei toto katika mkakati wa kumuongezea mkataba mwengine.

05/04/2026

Happy easter watu wa Mungu

29/03/2026

Rais Paul Kagame alikutana na jamii ya Waislamu nchini Rwanda katika ukumbi wa BK Arena mjini Kigali.
​Katika mkutano huo wa maswali na majibu, mshiriki mmoja alimueleza Rais kuhusu changamoto ya kuondolewa kwa adhana ya alfajiri (asubuhi mapema) kwenye vipaza sauti, jambo ambalo liliathiri uwezo wa waumini kujua muda wa sala hiyo.

Tazama video kamili kwenye youtube channel ya extrapower tv.
https://youtu.be/tT0l_B7K6yI

Want your business to be the top-listed Media Company in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Kinondoni
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00