JAMII Habari
23/03/2026
πUongozi wa Simba SC umefanikiwa kumuongezea mkataba mpya wa miaka miwili fundi wetu, Elie Mpanzu.
Pongezi za dhati ziende kwa Rais wetu, Mohammed Dewji (), kwa kazi kubwa na kuhakikisha tunambakisha nyota huyu wa kimataifa kutoka nchini DR Congo π¨π© kuendelea kuitumikia jezi ya Mnyama. Kazi iendelee! π₯πͺ
Wana Msimbazi, kwa kiwango alichokionyesha Mpanzu mpaka sasa, mnampa neno gani Rais Mo Dewji kwa kufanikisha dili hili? Dondosha comment yako hapa chini ππ£οΈ
Want your school to be the top-listed School/college in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the school
Telephone
Website
Address
MADALE
Dar Es Salaam