Simba SC Footbal

Simba SC Footbal

Share

22/07/2025

Natangaza kuwa k**a Kuna mtaalam wa kufungua Account zilizofingwa karibuni Kwa mazungumzo.

02/07/2025

Bodi ya Wakurugenzi ya Simba imekutana na Bodi ya Washauri ya kujadili mambo mbalimbali ya klabu ikiwemo tathmini ya msimu uliopita na mipango ya msimu ujao ikiwemo usajili.

01/07/2025

π€π˜πŽπ”π π‹π€πŠπ‘π„πƒ 𝐌𝐁𝐈𝐎𝐍𝐈 πŠπ”π‘π”πƒπˆ πŒπŽπ‘πŽπ‚π‚πŽ, π’π€π…π€π‘πˆ π˜π€πŠπ„ 𝐍𝐀 π’πˆπŒππ€ π˜π€π…πˆπŠπˆπ€ π“π€πŒπ€π“πˆ

Here We GoπŸ“

Mlinda mlango wa Klabu ya Simba SC Ayoub Lakred yupo mbioni kurejea kwao Morocco baada ya mkataba wake na Wekundu wa Msimbazi kumalizika rasmi huku kukiwa hakuna dalili ya kuhuishwa Kwa mkataba huo.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka ndani ya Klabu hiyo hakuna mazungumzo yoyote kati ya Simba na Lakred kuhusu kuongeza mkataba mpya hali hiyo inaashiria kuwa safari ya kipa huyo ndani ya Klabu hiyo ya Tanzania inakaribia mwisho.

Lakred alikuwa chaguo la kwanza kwenye lango la Simba misimu miwili iliyopita lakini hali ilibadilika ghafla alipoumia wakati wa maandalizi ya msimu ulioisha Nchini Misri.

Majeraha hayo yalimsababisha kukaa nje Kwa muda mrefu hali iliyowalazimu Simba kumsajili kipa wa Kimataifa kutoka Guinea Moussa Camara ambaye amemaliza msimu akiwa na clean sheet 19 rekodi Bora kabisa Kwa msimu wa 2024/2025

Β©

28/03/2025

Njia pekee ya kuonyesha namna gani tumefurahishwa na maamuzi haya ni kuujaza katika mchezo wa marudiano dhidi ya Al Masry.

Photos from Simba SC Footbal's post 28/03/2025

Kikosi cha Simba SC kimeondoka Nchini Alfajili ya leo Ijumaa kuelekea Misri tayari kwa mchezo wa robo fainali ya kombe la Shirikisho CAFCC dhidi ya Al Masry

Mchezo huo utapigwa April 02 katika dimba la Suez ndani ya Mji wa Suez.

Want your business to be the top-listed Media Company in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Msimbazi
Dar Es Salaam