ViwanjaFasta Page
10/03/2026
KIMBIJI POTEA
New Project
🔷Km 30 kutoka kigamboni Ferry
🔷Km 3 kutoka Main road
🔷Huduma zote za Kijamii zinapatikana
Get ready for the Price
03/03/2026
Kwa nini watu wengi wanadanganywa na viwanja feki?
Watu wengi hawadanganywi kwa sababu hawana akili.
Wanadanganywa kwa sababu:
• Wanaharakisha kufanya maamuzi
• Wanavutiwa na bei ya kushangaza
• Hawafanyi uhakiki wa nyaraka
Ardhi sio biashara ya kubahatisha.
Ni maamuzi yanayoweza kuathiri maisha yako kwa miaka mingi.
Kabla hujalipa hata advance, jiulize:
👉 Nimehakiki umiliki?
👉 Nimeona nyaraka halali?
👉 Nimefanya due diligence?
K**a huna uhakika, bora kuuliza kwanza kuliko kujuta baadaye.
📩 Andika “UHakiki” tukuelekeze hatua salama.
📍 Viwanja Fasta — Nunua kwa uhakika, sio kwa bahati.
22/02/2026
🏗️ JE, UNAJUA NI MAJENGO GANI YANARUHUSIWA KWENYE KIWANJA CHAKO?
⚠️ Sio kila kiwanja kinaruhusu kila aina ya jengo.
Katika baadhi ya maeneo:
❌ Huruhusiwi kujenga ghorofa nyingi
❌ Biashara hairuhusiwi kwenye eneo la makazi
❌ Viwanda haviruhusiwi karibu na makazi
❌ Urefu wa jengo unaweza kuwa na kikomo
❌ Lazima ufuate mpangilio wa mji (zoning plan)
Viwanja Fasta inakusaidia:
🔍 Kuhakiki matumizi ya ardhi (Land Use)
📑 Kupitia ramani za mipango miji
🏢 Kupata ushauri kabla ya kuanza ujenzi
⚖️ Kufuata sheria za eneo husika
Jenga kwa uhakika, sio kwa kubahatisha.
📞 0782 252 121
Viwanja Fasta – Uwekezaji Sahihi, Bila Migogoro.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Website
Address
Gezaulole, Kigamboni
Dar Es Salaam
255