Sheikh Hamza Rajab Abuu Seif
05/06/2020
Unajua yanayotakikana kufanywa zaidi siku ya ijumaa???
Ni mengi lakini anza na hili:
Amesema Mtume wa Allah Rehma na Amani Ziwe Juu yake:
Niswalieni sana siku ya ijumaa, na usiku wa ijumaa.
Atakayeniswalia mara moja, Allah atamswalia mara kumi.
Tusipitwe na fadhila hii ya siku ya ijumaa, bali kila siku na kila wakati mswalie Mtume wako Rehma na Amani Ziwe Juu yake.
اللهم صل وسلم وبارك على سيدنا ونبينا محمد وعلى آله وصحبه أجمعين
03/06/2020
ASSALAAM ALAYKUM WARAHMATULLAAH WABARAKAATUH
Want your place of worship to be the top-listed Place Of Worship in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam