Smart media

Smart media

Share

17/04/2025

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limesema limekuwa likifuatilia matamko mbalimbali na mipango ya baadhi ya Viongozi wa Chama cha CHADEMA kikihamasisha Watu kukusanyika April 24, 2025 eneo la Mahakama ya Kisutu huku katika mipango yake kikilenga kufanya vurugu kwa lengo la kushinikiza mamlaka za kisheria kumwachia mmoja wa mtuhumiwa Tundu Lissu atakayepelekwa siku hiyo Mahakamani hapo.

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam Jumanne Muliro kwenye taaarifa aliyoitoa leo April 17,2025 amesema “Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam linawakumbusha Wahusika kuwa Mahakama ni Mamlaka za kisheria zilizo huru na hazipaswi kutishwa au kuingiliwa wakati wa utekelezaji wa majukumu yake”

Photos from Smart media's post 21/11/2021

Haya hapa magazeti ya leo Nov 21/2021

Photos from Smart media's post 08/11/2021

Kurasa za mbele za Magazeti ya leo November 08/2021

Want your business to be the top-listed Media Company in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Address


ARUSHA
Arusha