Smart media
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limesema limekuwa likifuatilia matamko mbalimbali na mipango ya baadhi ya Viongozi wa Chama cha CHADEMA kikihamasisha Watu kukusanyika April 24, 2025 eneo la Mahakama ya Kisutu huku katika mipango yake kikilenga kufanya vurugu kwa lengo la kushinikiza mamlaka za kisheria kumwachia mmoja wa mtuhumiwa Tundu Lissu atakayepelekwa siku hiyo Mahakamani hapo.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam Jumanne Muliro kwenye taaarifa aliyoitoa leo April 17,2025 amesema “Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam linawakumbusha Wahusika kuwa Mahakama ni Mamlaka za kisheria zilizo huru na hazipaswi kutishwa au kuingiliwa wakati wa utekelezaji wa majukumu yake”
21/11/2021
Haya hapa magazeti ya leo Nov 21/2021
08/11/2021
Kurasa za mbele za Magazeti ya leo November 08/2021
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Address
ARUSHA
Arusha