Radio5tz

Radio5tz

Share

29/05/2026

πŸ”₯ Usikose! πŸ”₯
Tuko na A.T ndani ya Funiko Base Serikalini kuanzia saa 7:00 mchana hadi saa 10:00 jioni. Karibu tushare vibe, 🎢✨

Photos from Radio5tz's post 25/05/2026

Mwenyekiti wa (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu, akiwasili katika Mahak**a Kuu, Divisheni ya Masijala, jijini Dar es Salaam leo, Mei 25, 2026, kwa ajili ya usikilizwaji wa shauri lake la maombi ya kujumuishwa k**a mdaiwa katika kesi ya mali za chama iliyofunguliwa na Saidi Issa Mohamed pamoja na wadai wengine wawili.

Photos from Radio5tz's post 24/05/2026

Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Miguel Gamondi, ametangaza kikosi cha Taifa Stars kitakachoingia kambini kwa ajili ya maandalizi ya michezo miwili ya kirafiki iliyopo kwenye kalenda rasmi ya FIFA.

Taifa Stars inatarajiwa kucheza dhidi ya Uganda na Rwanda katika michezo hiyo ya kirafiki yenye lengo la kuimarisha kikosi na kuongeza ushindani kuelekea mashindano yajayo ya kimataifa.

Kocha Miguel Gamondi amesema uteuzi wa kikosi hicho umezingatia kiwango cha wachezaji, nidhamu pamoja na mahitaji ya kiufundi kwa ajili ya kuijenga timu imara itakayoweza kufanya vizuri katika michezo hiyo muhimu ya maandalizi.

04/05/2026
Want your business to be the top-listed Media Company in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Address


Njiro Block J
Arusha
P.O.BOX15883