Radio5tz
29/05/2026
π₯ Usikose! π₯
Tuko na A.T ndani ya Funiko Base Serikalini kuanzia saa 7:00 mchana hadi saa 10:00 jioni. Karibu tushare vibe, πΆβ¨
25/05/2026
Mwenyekiti wa (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu, akiwasili katika Mahak**a Kuu, Divisheni ya Masijala, jijini Dar es Salaam leo, Mei 25, 2026, kwa ajili ya usikilizwaji wa shauri lake la maombi ya kujumuishwa k**a mdaiwa katika kesi ya mali za chama iliyofunguliwa na Saidi Issa Mohamed pamoja na wadai wengine wawili.
24/05/2026
Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Miguel Gamondi, ametangaza kikosi cha Taifa Stars kitakachoingia kambini kwa ajili ya maandalizi ya michezo miwili ya kirafiki iliyopo kwenye kalenda rasmi ya FIFA.
Taifa Stars inatarajiwa kucheza dhidi ya Uganda na Rwanda katika michezo hiyo ya kirafiki yenye lengo la kuimarisha kikosi na kuongeza ushindani kuelekea mashindano yajayo ya kimataifa.
Kocha Miguel Gamondi amesema uteuzi wa kikosi hicho umezingatia kiwango cha wachezaji, nidhamu pamoja na mahitaji ya kiufundi kwa ajili ya kuijenga timu imara itakayoweza kufanya vizuri katika michezo hiyo muhimu ya maandalizi.
04/05/2026
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Website
Address
Njiro Block J
Arusha
P.O.BOX15883