FTI Alumni Association
07/11/2024
Uongozi wa Chuo cha Misitu unayo furaha
kuwaalika wahitimu wote wa zamani wa
Chuo cha Misitu kushiriki kwenye Mahafali ya
84, yatakayofanyika tarehe 15 Novemba 2024,
katika viwanja vya chuo.
Hii ni fursa maalum ya kuungana tena na
kusherehekea mafanikio yetu ya pamoja.
Mahafali haya yataangazia urithi na
mchango wa chuo chetu katika sekta ya
misitu, pamoja na kujenga mshikamano
miongoni mwa wahitimu. jiunge nasi
katika tukio hili la kihistoria.
Karibu sana
03/10/2024
*From Silent generation 1937 to 2024 Generation Alpha.**We are one Big family 🇹🇿🌳💚*
Karibu jisajili na Jumuiya ya Wahitimu wa FTI kwa kujaza fomu hii
https://forms.gle/SVER9jHcTwCp9gC59
Pia unaweza kujiunga na group letu la WhatsApp Kwa kutumia link hii
https://chat.whatsapp.com/FpPzCaZEumq7qec7cxKJaQ
18/09/2024
Wahitimu mbalimbali walio wahi kupita Chuo Cha Misitu, Olmotonyi , Kwa wakati tofauti tofauti wamefurahia sana kutembelea Chuo chao na kukuta mabadiriko makubwa sana yaliyo tokea chini ya Uongozi wa Mkuu wa Chuo Dr. Joseph Makero .makero
06/09/2024
"Happy us, we are proud Alumni of Forestry Training Institute, Olmotonyi" -
09/08/2024
We are one big family🌳💚
Karibu jiunge na familia yetu kubwa ya Wahitimu wa Chuo Bora cha Misitu
09/08/2024
Mimi Linda na hulder tunajivunia kuwa zao la Chuo bora cha Misitu , wewe je?
Cc
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Address
Olmotonyi
Arusha