Arusha yetu
23/02/2026
Ajali mbaya imeripotiwa katika eneo la Kwa Idd, wilayani Arumeru, mkoani Arusha, kufuatia basi la kampuni ya Dar Express kugongana na daladala lililokuwa likisafirisha abiria.
Kwa mujibu wa taarifa za awali, watu kadhaa wamejeruhiwa, huku baadhi yao wakiwa katika hali mbaya na kuhitaji uangalizi wa haraka wa kitabibu. Magari yote mawili yamepata uharibifu mkubwa, hasa katika sehemu za mbele.
Mamlaka husika zinaendelea na uchunguzi kubaini chanzo cha ajali hiyo.
03/04/2017
http://yetuarusha.blogspot.com/2017/04/hatukupenda-tuwe-hivi-21.html
HATUKUPENDA TUWE HIVI-21 HADITHI, HATUJAPENDA TUWE HIVI, SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA,(21), MTUNZI Deo Young Massawe MAWASILIANO, 0769297430. ...
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Arusha