Anitha uzazi Tips
29/05/2026
Anyway good morning my clients nawapenda sana❤️🥳
27/05/2026
Hormonal imbalance📍
natural ways to help balancing your hormones do them regularly are very powerful 🥳💪
27/05/2026
25/05/2026
From PCOS to PMOS with medical reasons behind
People should understand and not claiming
We making women healthier
Welcome 🥳
Consult 0679587927
Read and understand ✍️
Madhara ya hormonal imbalance kwa mwanamke ✍️
07/05/2026
K**a unapitia changamoto hizi nitafute leo nitakusaidia kwa haraka zaidi kuondokana nazo nipigie simu au nitafute WhatsApp 0679587927
12/01/2026
Ndio, mwanamke mwenye PID (Pelvic Inflammatory Disease) anaweza kupata mimba, lakini kuna uwezekano mkubwa wa kuwa na matatizo.
PID inaweza kusababisha:
⭐️Ugumba: Mirija ya Fallopian inaweza kuharibika au kuziba, kuzuia yai kusafiri na kukutana na shahawa.
⭐️Mimba nje ya mfuko wa uzazi (Ectopic pregnancy): Mimba inatunga nje ya mfuko wa uzazi, mara nyingi kwenye mirija ya Fallopian, jambo ambalo ni hatari.
⭐️Kuharibika kwa mimba: Hatari ya kupoteza mimba mapema inaweza kuongezeka.
Ikiwa una PID na unapanga kupata mimba, ni muhimu sana kuzungumza na daktari wako. Anaweza kukushauri na kukuelekeza katika matibabu sahihi ili kuongeza nafasi zako za kupata mimba salama na yenye afya.
k**a unapitia changamoto hii au changamoto yoyote ya uzazi karibu AFYA CARE kwa utatuzi wa changamoto yako au tupigie kwa simu 0679587927 kwa huduma ya haraka zaidi .
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
ARUSHA
Arusha
255