VIPODOZI NA HAMIS
05/02/2020
Reishi coffee ni kahawa nzuri sana na ni tiba lishe inasaidia kuondoa sumu💉💊 kwenye ini na figo pia inasaidia kuboresha kinga za mwili k**a mwili kuuma, tumbo kuunguruma⛈, maumivu ya viungo mzunguko wa damu mwili pamoja na kuimarisha mwili💪🏽💪🏽💪🏽
25/03/2019
Wakati mwingine meno huuma tu sio kwamba hatusafishi vizuri bali tunatumia dawa za meno ambazo hazina ulinzi thabiti kwa meno yetu.
Chukua hiyo tube ya dawa yako ya meno kwa chini angalia kuna alama flani hivi imechorwa.
JE UNAJUA INAMAANISHA NINI KWA MENO YAKO?
▪Huwa kuna
❤Nyekundu
•Nyeusi
💙Blue
💚Kijani
TUBE YAKO INA RANGI GANI?
Ukiona alama nyeusi maana yake dawa yako ya meno ina kemikali tupu
❤ukiona nyekundu ina kemikali na ni natural
💙Blue ina vitu asilia /natural pamoja na dawa
💚kijani ni asilia/natural tupu.
Unatumia dawa ya meno yenye alama gani?
Je ni salama kwa ulinzi wa meno yako?
YANGU INA ALAMA YA BLUE..
30/08/2018
Usikimbizane na mtoto muda wa kuswaki...Mnunulie Optifresh kwa meno imara na yasiyouma..
Ila uwe unaificha maana anaweza kuimaliza siku hiyo hiyo ni tamu sana.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Arusha
Arusha
0624010912
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 18:07 |
| Tuesday | 09:00 - 18:00 |
| Wednesday | 09:00 - 18:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 18:00 |
| Saturday | 09:00 - 18:00 |