Tanzania Engineering and Manufacturing Design Organization

Tanzania Engineering and Manufacturing Design Organization

Share

Photos from Tanzania Engineering and Manufacturing Design Organization's post 24/08/2023

Wakurugenzi na Maafisa Wakuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara wametembelea TEMDO kwa lengo la kuangalia Maendeleo ya Teknolojia zinazo tengenezwa k**a vile Mradi wa Vifaa Tiba, Mtambo wa Kuchakata zao la Muhogo, Mtambo wa kuchakata Sukari na Mkonge. Viongozi wa Wizara waliridhishwa na waliipongeza Taasisi kwa Mafanikio chanya yalio fikiwa kwenye utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo.

Mkurugenzi Mkuu Mhandisi Prof. Kahimba alimkabizi zawadi ya Nembo ya jina la Wizara ya Viwanda na Biashara (WVB) ilichongwa kwenye chuma kwa Mkurugenzi Msaidizi Sehemu ya Utawala Bi. Ingrid Sanda ambaye alimwakilisha Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu wa Wizara ya Viwanda na Biashara.

08/08/2023

TEMDO yashiriki Maonesho ya Nane Nane kanda ya Kaskazini na Mashine za aina mbali mbali kwaajili ya kuongeza dhamani kwenye Mazao; Pia wana Vifaa Tiba kwaajili ya kusaidia hospitali, Vituo vya Afya na Zahanati hapa Nchini.

Photos from Tanzania Engineering and Manufacturing Design Organization's post 07/08/2023

Mkulima akipata maelezo ya kina ya teknolojia ya kuchakata zao la chikichi ili kupata mafuta ya kula kutoka kwa Mtalamu Mosses Chalamila alipo tembelea banda la TEMDO katika maonesho ya Nane Nane kanda ya Kaskazini.

TEMDO ni Taasisi ya Uhandisi na Usanifu Mitambo Tanzania iliopo chini ya Wizara ya Viwanda na Biashara. Katika maonesho ya 29 Nane Nane (88) TEMDO imeshiriki na Teknolojia mbalimbali k**a vile Mtambo wa kumamua na kusafisha mafuta ya Alizeti, Mtambo wa kuchakata unga wa Muhogo, Mtambo wa kuchakata siagi ya karanga, Mtambo wa kuchakata unga wa lishe, Mtambo wa kuchakata juisi ya matunda, Mtambo wa kuchakata viungo vya chakula, Mashine ya kutoa mjuzi wa zabibu kwaajili ya viwanda vya mvinyo.

Pia Taasisi imeshiriki na vifaa tiba vya hosipitali k**a vile vitanda vya kuwagulia wagonjwa, vitanda vya kulazia wagonjwa na kujifungulia Wamama wajawazito, Majokofu ya kuifadhia Maiti ya ngazi mbili mpaka sita na pia kiteketezi cha taka hatarishi zinazo zalishwa na hosipitali- "Biomedical Solid Waste Incinerator".

Photos from Tanzania Engineering and Manufacturing Design Organization's post 06/08/2023

TEMDO ni Taasisi ya Uhandisi na Usanifu Mitambo Tanzania iliopo chini ya Wizara ya Viwanda na Biashara Katika maonesho ya 29 Nane Nane (88). TEMDO imeshiriki na Teknolojia mbalimbali k**a vile Mtambo wa kumamua na kusafisha mafuta ya Alizeti, Mtambo wa kuchakata unga wa Muhogo, Mtambo wa kuchakata siagi ya karanga, Mtambo wa kuchakata unga wa lishe, Mtambo wa kuchakata juisi ya matunda, Mtambo wa kuchakata viungo vya chakula, Mashine ya kutoa mjuzi wa zabibu kwaajili ya viwanda vya mvinyo.

Pia Taasisi imeshiriki na vifaa tiba vya hosipitali k**a vile vitanda vya kuwagulia wagonjwa, vitanda vya kulazia wagonjwa na kujifungulia Wamama wajawazito, Majokofu ya kuifadhia Maiti ya ngazi mbili mpaka sita na pia kiteketezi cha taka hatarishi zinazo zalishwa na hosipitali- "Biomedical Solid Waste Incinerator".

Photos from Tanzania Engineering and Manufacturing Design Organization's post 03/08/2023

Wanafunzi wa Shule ya Msingi Notredame wamefanya ziara ya kimasomo TEMDO kwaajili ya kujionea Ubunifu na Usanifu wa kazi za Kihandisi, lengo kuu la ziara ya shule hiyo ni kuwaandaa Wanafunzi wapende masomo ya Sayansi.

Want your organization to be the top-listed Government Service in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Website

Address


Arusha