SOKA Updates
06/05/2026
KOCHA YANGA ATIMULIWA
01/01/2026
Sudan wamefanikiwa kufuzu kwenda Hatua ya 16 Bora bila kufunga hata bao moja lililofungwa na mchezaji wao.
Ushindi wao pekee ulikuwa dhidi ya Equatorial Guinea, na ulipatikana kupitia bao la kujifunga.
Urithi wa soka Afrika. Uchawi wa AFCON. Chochote kinaweza kutokea. โฝโจ
01/01/2026
DRAW YA AFCON Raundi ya 16 Bora๐จ
Hatua ya mtoano 16 Bora iko tayari, kosa moja tu umeaga mashindano.
๐ฒ๐ฆ Morocco ๐ Tanzania ๐น๐ฟ
๐ฒ๐ฑ Mali ๐ Tunisia ๐น๐ณ
๐ฉ๐ฟ Algeria ๐ DR Congo ๐จ๐ฉ
๐ช๐ฌ Egypt ๐ Benin ๐ง๐ฏ
๐ธ๐ณ Senegal ๐ Sudan ๐ธ๐ฉ
๐ณ๐ฌ Nigeria ๐ Mozambique ๐ฒ๐ฟ
๐จ๐ฎ Cรดte dโIvoire ๐ Burkina Faso ๐ง๐ซ
๐ฟ๐ฆ South Africa ๐ Cameroon ๐จ๐ฒ
Je, Stars itaweza kuukwaa mfupa mgumu wa Morocco? Toa maoni yako ๐ฅ
01/01/2026
Big thanks to Jackson J. Luhweja
for all of your support! Congrats for being top fans on a streak ๐ฅ!
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Arusha
553