Imara Tech
🚜💰 MCT siyo mashine tu… ni chanzo cha kipato!
Kwa kutumia MCT ya Imara Tech, unaweza kupiga magunia 20 hadi 25 kwa saa moja.
K**a gunia moja ni Tsh 2,500, maana yake unaweza kuingiza hadi:
✅ Gunia 20 = Tsh 50,000 kwa saa
✅ Gunia 25 = Tsh 62,500 kwa saa
Mashine hutumia wastani wa lita 1 ya mafuta kwa saa tu.
Ukikokotoa mafuta ya Tsh 4,125 kwa lita, bado unabaki na faida kubwa sana. 🔥
Na zaidi ya hapo, mashine inaweza kufanya kazi kwa zaidi ya masaa 4 mfululizo bila kuzimwa.
Hii ina maana unaweza kuingiza mpaka:
💵 Tsh 200,000 – 250,000+ kwa siku kutegemea kazi na eneo lako!
Hii ni fursa kwa mkulima na mjasiriamali wa huduma za mashambani.
📍 Imara Tech – K**ata Fursa.
**ataFursa
Karibu sana Imara Tech, tukupatie mashine ya kisasa inayokuwezesha kupiga, kupeta na kupukuchua aina 9 ya mazao
Technology ni Imara Tech **atafursa
Click here to claim your Sponsored Listing.
Contact the business
Telephone
Website
Address
SIDO Plot 42, Unga Limited
Arusha
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:30 |
| Tuesday | 09:00 - 17:30 |
| Wednesday | 09:00 - 17:30 |
| Thursday | 09:00 - 17:30 |
| Friday | 09:00 - 17:30 |
| Saturday | 09:00 - 17:30 |