Poti mtata

Poti mtata

Share

11/12/2025

`USIFANYE KOSA HILI`
_____________________

✓✓Usitoe matumaini kwa mtu k**a hauna
uwezo kwa wakati huo/hauko tayari kumpa pesa yako
(Respond Promptly, Be clear).

✓✓Kuna watu wengi wameingia kwenye mtego wa kutoa
pesa hata pale ambapo wanakuwa wamebakiwa
nazo kidogo kwa sababu ya huruma.

✓✓Kumbuka kuwa, unaweza kuwa na huruma, ila k**a
hauna uwezo wa kuihudumia huruma kipesa,
usijilazimishe.

✓✓Mtu anapokuomba pesa, huwa anatarajia unaweza
kusema NDIO au HAPANA.

✓✓ Ukijijua kuwa uko kwenye
changamoto za kipesa, usimpe mtu matumaini ya
kuwa unaweza kupata na kumpatia baadaye.

Achana na majibu k**a “Ngoja niangalie kwanza”

,
“Tuombe Mungu nitakuchek baadaye”

“Kuna hela
naisubiria, nikipata nitakupatia”.

✓✓Kwa tafiti zangu ndogo ni kuwa, mtu ukishampa jibu
lolote la matumaini, kwanza anaacha kutafuta
kwingine kote na pili anatarajia kuwa lazima utampa,
hii ndio maana lazima atakusumbua tu.

> Ushawahi fanya hili kosa k**a Mimi 🙆??

19/09/2022

Ina ukweli hii?

Want your business to be the top-listed Finance Company in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Arusha