Iaa_tz
03/06/2026
UONGOZI WA AMUCTA WATEMBELEA IAA KUJIFUNZA MIFUMO YA UTOAJI ELIMU KIDIJITALI.
Uongozi kutoka Chuo Kikuu Kishiriki cha Askofu Mkuu Mihayo Tabora (AMUCTA) umetembelea Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) kwa lengo la kujifunza mifumo mbalimbali ya utoaji wa elimu kwa njia ya kidijitali (E-Learning and Blended Learning).
Katika ziara waliyofanya leo Juni 03, 2026 wakuu wa idara pamoja na wataalamu wa TEHAMA kutoka AMUCTA wamepata fursa ya kufahamishwa kuhusu sera na miongozo inayotumika katika utoaji wa elimu kwa njia ya mtandao, mifumo ya upimaji wa wanafunzi, uunganishaji wa masomo ya mtandaoni na ya ana kwa ana, huduma za msaada kwa wanafunzi, pamoja na hatua za ulinzi na usalama wa taarifa.
Uongozi wa AMUCTA umeeleza kuwa IAA imeonyesha mafanikio makubwa katika utoaji wa elimu kwa njia ya mtandao na mfumo wa mchanganyiko (Blended Learning), hivyo kutokana na mafanikio hayo, AMUCTA imeona umuhimu wa kujifunza kutoka IAA ili kuimarisha na kufanikisha malengo yake ya kutoa elimu bora kupitia mifumo ya kidijitali.
28/05/2026
Application Window for Two years and Three years Diploma Programmes (September/October Intake) for the Academic year 2026/2027 is now open.
Diploma Programmes Offered are:
1. Diploma In Accountancy
2. Diploma In Finance &Banking
3. Diploma In Procurement & Supply Chain Management
4. Diploma In Business Management
5. Diploma In Business Management with Chinese
6. Diploma In Computer Science
7. Diploma In Information Technology
8. Diploma In Computer Networking
9. Diploma In Mobile Applications
10. Diploma In Multimedia
11. Diploma In Library & Information Studies
12. Diploma In Records & Information Management
13. Diploma In Accountancy with IT
14. Diploma In Economics & Finance
15. Diploma In Insurance & Risk Management
16. Diploma In Marketing & Public Relations
17. Diploma In Human Resources Management
18. Diploma In Clearing and Forwarding
19. Diploma In Agriculture Value Chain Management
20. Diploma in Cyber Security
*ENTRY QUALIFICATION:*
*THREE-YEAR DIPLOMA*
Form four (IV) with at least four (4) passes excluding religious subjects.
*TWO-YEAR DIPLOMA*
a) NTA Level 4 in the related field of study;
b) Form Six
At least One Principal Pass and One Subsidiary Pass excluding religious subjects
*Apply now*
Arusha, Babati, Bukombe, Dar es Salaam, Dodoma, and Songea Campuses.
For more details please call: 0742833444 or visit www.iaa.ac.tz
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Arusha