BAHAO
But we need true democracy in Tanzania.
11/10/2025
Iwapo tutaorodhesha ni shughuli ipi inayogharimu serikali pesa nyingi zaidi, (kutoka ghali zaidi)
1 VITA (War)
Vita, hugharimu zaidi. Vita vinahitaji silaha, usafiri, chakula kwa wanajeshi, matibabu, ujenzi, n.k. Inaweza kugharimu mabilioni ya dola na kuharibu uchumi kwa miaka mingi.
2 UCHAGUZI MKUU
Uchaguzi mkuu wa Raisi, Wabunge na Madiwani k**a ilivyo kwa TZ, huu ni wa pili kwa gharama kubwa zaidi. Inahusisha uchapishaji wa mamilioni ya kura, kulipa maafisa wa uchaguzi, kusafirisha vifaa, kutoa usalama, n.k.
3 SENSA YA KITAIFA (Sensa)
Inagharimu sana, lakini chini ya uchaguzi na vita. Inahitaji mafunzo, kompyuta kibao au fomu, usafiri, na malipo kwa waandikishaji lakini hufanyika kwa amani na bila hatari kubwa au gharama za usalama za uchaguzi au vita.
chair person of .
hello
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the public figure
Telephone
Website
Address
Songambele, Bwawani
Arusha
23220
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |